motherservant
Member
- Jul 19, 2012
- 27
- 6
Truly am very happy for this man of God. Ameifanya kazi yake na apumzike kwa amani. Kama tujuavyo amelala tutamwona tena. Kazi ipo kwetu mimi na wewe tutakuwaje siku yetu ikifika?
Mzee Ailey yatoa maisha yake toka wakati aw Juana hatamwisho kwaajili ya kumtumikia Mungu bila kutenda walk Kutamani Mali na kujilimbikizia ni Mfano aw kuitwa kwa viongozi aw Jamii Hassa watumishi aw Mungu .Kanisa la EAGT lime pasta pengo KUBWA
apepe(swahili),rip(english):-alale pema peponi
Ndugu acha uongo wa mchana kweupe, Mtumishi wa Mungu Askofu Kakobe mara nyingi amesema sana kuwa yeye ni mtoto wa kiroho wa Mtumishi wa Mungu Askofu Kulola. Mara kadhaa Askofu Kulola ameshaenda katika kanisa analolichunga Askofu Kakobe MWenge, moja kati ya hizo safari, Askofu Kakobe na washirika walimpa zawadi nyingi sana Askofu Kulola, ikiwa ni kuheshimu kazi kubwa ya Injili aliyoitenda Askofu Kulola. na hata katika ushuhuda wake Askofu Kakobe katika website yake hapa , http://bishopzacharykakobe.org/en/about-us/about-bishop-zachary-kakobe . utaona wazi wazi ameeleza kuhusu kuokoka kwake kutokana na mahubiri ya mtumishi wa Mungu, Askofu Kulola.
90
Hakika Mtumishi wa Mungu Askofu Kulola,amemaliza kazi na taji ya haki amevikwa. Jina la Bwana lihimidiwe
Nimepokea taarifa kutoka kwa Rev. Daniel Kulola ambaye ni mtoto wa Bishop Moses Kulola kwamba, Askofu Kulola amefariki dunia muda mfupi uliopita.
Nitaendelea kuwapa updates.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.
arch bishop kulola ni kielelezo kizuri kwa watumishi wa mungu wa leo, watu wa mungu tuna mengi ya kujifunza kutoka kwake kama unyenyekevu na uadilifu. Hakupenda sifa, hakupenda vyeo na majina makubwa ya kutisha kama vile nabii au mtume kama wengi wanavyopenda kujulikana nyakati hizi.
Mzee wa UPAKO, Antony Lusekelo analifahamu fungu hili? Yeye huwa anadai kuwa hatakufa!Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama vile kivuli, wala hakai kamwe. AYUBU 14: 1 - 2
eti sasa hivi saa 02.19 ndio redio one wanaitoa kama breaking news!
mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; hukimbia kama vile kivuli, wala hakai kamwe. Ayubu 14: 1 - 2