Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
RIP Med Mpakanjia,Bwana ametoa na Bwana ametwaa,pole rafiki wa karibu wa Marehemu JB,pole ndugu, jamaa na marafiki...
Nilikuwa na maana ya kufunga lakini pia si taarifa sahihi na ndio maana nikasema, "wanasema" na kwamba, "kama ni kweli" basi Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi. Unajua kwa jinsi alivyojiweka tokea uhai wa Amina, kumekuwa na mambo mengi,baadhi yakiwa ni yale aliyoyapenda yatangazwe ama kuandikwa. Lakini sasa hivi hata jamaa zake wa karibu wanasema hawajui. Sujui maana yake nini hasa.
bwana Masanilo, Lisemwalo liko hivi (tena toka kwa wafanya kazi wenzie na liyumba); uhusiano wa Liyumba na Amina haukuwa wa siri kabisa
bwana Masanilo, Lisemwalo liko hivi (tena toka kwa wafanya kazi wenzie na liyumba); uhusiano wa Liyumba na Amina haukuwa wa siri kabisa.. na ndo jamaaa alikwenda nae mpaka Dubai kati ya moja ya zile tripu zake za mwanzo za 'around the world in 80 dayz' ndo kujua kuwa Liyumba 'anagonga' si ndo akamsepesha
Haa haa haaaa!! Kuna watu wachokonoaji sana humu !!!... sasa utakuwa msiba mzito.
Mpwa Fidel80 hujawahi pitia moja ya viota vya Mpakanjia?
mzee Maana punguza hasira...hizi cheni hazikwepeki!!!
Aisee umenikumbusha... jamaa akajifanya ana garage basi gari zote za TRC eti zilikuwa zinaenda kufanyiwa service kwahiyo garage yake, na hasa 'utajiri' wa mpakanjia ndio ulipoanziaMpakanjia huyu amechangia sana kuifilisi TRC ambayo leo ni TRL. Alikuwa ana tender ya ku-supply spare parts pale TRC, basi ilikuwa ni kujichotea tu pesa pale akishirikiana na baadhi ya mameneja na wahandisi pale TRC.
Anyway, apumzike kwa amani.
Mpakanjia huyu amechangia sana kuifilisi TRC ambayo leo ni TRL. Alikuwa ana tender ya ku-supply spare parts pale TRC, basi ilikuwa ni kujichotea tu pesa pale akishirikiana na baadhi ya mameneja na wahandisi pale TRC.
Anyway, apumzike kwa amani.
Duh Jamani Mbona watu wazuri ndio wanafariki tu.. na watu wengine wanapeta. Yote ni ya Mungu
AISEE:mbona watu mnasita sita kutaja gonjwa lililomuua huyu mpaka njia?/?
NAWAPA DAKIKA SABA MTAJE GONJWA LA SIVYO MI NALITAJA MWENYEWE:
huyu mtu gani bana kila siku anafungaaaaaaa ndoa hata kama ni uhuni huuu wake umezidiii.
Nikitoka hapa nikirudi sitaki kumwona mtu kabaki ,semeni gonjwa