Mohamed Mpakanjia is no more!

wewe ni aje kama unajua majibu yanini uyaweke! naanza pata wasi wasi na IQ yako
Pia acha kudandia lori kwa mbele hujui kwa nini nilisema tuweke majibu hapa,ama kweli kazi ipo.kusema tu haitoshi yaani nilimaanisha majibu ya kila mtu yawe scanned copy ya kutoka maabara baada ya analysis.
 
Pia acha kudandia lori kwa mbele hujui kwa nini nilisema tuweke majibu hapa,ama kweli kazi ipo.kusema tu haitoshi yaani nilimaanisha majibu ya kila mtu yawe scanned copy ya kutoka maabara baada ya analysis.

Ur need a glass of milk, I am afraid ur polluted
 
I wonder why we are being hypocritical. Nadhani kifo cha ndugu yetu Med kimepunguza drug baron mmoja. Nashangaa kuona wengine wanasema mungu amechukua mtu mzuri, may be we have different definitions of goodness. Kwa maana nyingie dawa za kulevya zitapungua kiasi kabla ya kumpata drug baron mwingine. Kuba baadhi ya members kwenye jamii kuwapoteza ni blessing in disguise na wengine kuwapoteza ni hasara kubwa. Let us call a snake snake.
 
Vipi yule dogo wa Chadema nasikia alikuwa anamega mke wa Meddy hebu aje atuambia kama ni uzushi.

Dogo wa Chadema, naona unahisiwa hapa. Jitokeze ujitetee na kuwajulisha members kuwa huishi kwa matumaini. Najua wewe ni mtu wazi na safi hivyo hutasema uongo. Mbona wapo wengi waliojitosa hadharani kusema wanaishi kwa matumaini??

JF where openness is the slogan!!!!
 
Ninacho jiuliza ni kwamba kama huyu mtu alikua nao ni lazima ata kua alijua hali yake(siyo rahisi siku hizi mtu uambukizwe mpaka ufe na usijue unao). Sasa kama alikua anajua hali yake kwa nini alioa? Na huyo mwanamke aliye kubali kuolewa bila kwenda kupima ana jipenda kweli?

MF1, kuna tetesi nimepata kwamba muathirika wa VVU akitumia dawa (antibiotics) say for a week, akaenda kupima virusi eti havionekani...

Naomba ufafanuzi, kuna ukweli wowote katika hili?
 
Back
Top Bottom