Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
MIMI naanza then wewe ufatie
Mimi muathirika so sihitaji kuyaweka ya kwangu!
MIMI naanza then wewe ufatie
nilisema majibu baada ya vipimo haijalishi +ve au -veMimi muathirika so sihitaji kuyaweka ya kwangu!
nilisema majibu baada ya vipimo haijalishi +ve au -ve
Pia acha kudandia lori kwa mbele hujui kwa nini nilisema tuweke majibu hapa,ama kweli kazi ipo.kusema tu haitoshi yaani nilimaanisha majibu ya kila mtu yawe scanned copy ya kutoka maabara baada ya analysis.wewe ni aje kama unajua majibu yanini uyaweke! naanza pata wasi wasi na IQ yako
Pia acha kudandia lori kwa mbele hujui kwa nini nilisema tuweke majibu hapa,ama kweli kazi ipo.kusema tu haitoshi yaani nilimaanisha majibu ya kila mtu yawe scanned copy ya kutoka maabara baada ya analysis.
thanksUr need a glass of milk, I am afraid ur polluted
Vipi yule dogo wa Chadema nasikia alikuwa anamega mke wa Meddy hebu aje atuambia kama ni uzushi.
thanks
Kama si ''Thanks'' ya kinafiki....bonyeza kitufe cha ''Thanks'' bac au sio FL?
Ninacho jiuliza ni kwamba kama huyu mtu alikua nao ni lazima ata kua alijua hali yake(siyo rahisi siku hizi mtu uambukizwe mpaka ufe na usijue unao). Sasa kama alikua anajua hali yake kwa nini alioa? Na huyo mwanamke aliye kubali kuolewa bila kwenda kupima ana jipenda kweli?