Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Mkuu hakiki mawazo yako. Huwezi kuchukua 1b ama kwa shs au dola cash bank bila mamlaka zote kujua. Hivi unadhani hakuna alert ilikuwa kwenye mabenk?
Fikiri zaidi kidooogo.
 
We ndio jinga kweli wewe..kwani mlichoonyeshwa jana ni picha ya cctv au picha ya gari?? We hujui kutofautisha..?
Haya unadhani garihiyo ingeendelea kubaki na namba za msumbiji wakati imekuja kufanya tukio??umeona namba za kwenye vioo??
Aliyekuambia kelele za lema na zitto ndio zimesababisha mo apatikane ni nani?? Mbona kelele hizo hazijawapata waliompiga tundulissu au waliomchukua ben saanane..acheni ushabiki kutu

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
Endelea kunengua tu tunakutazameni mtamaliza viunu aina zote awamu hii. Mate yatawakauka maana hoja za maana hamna mmebakiwa na haja pekee. Eti makada mbona hamkuguswa na tukio la kutekwa Mo? Kwanini baada ya Zitto na Lema kuwatikisa Mo kaonekana vina uhusiano gani?
 
Hili gari ndio hao wanaosemekana watekaji walitaka kulichoma moto na wakaanzia kuunguza siti .uongo uliojee
IMG_20181020_131310_069.JPG
 
Kila kukicha kulikuwa kukitokea kwenye tweeter, fb, na makundi ya WhatsApp wakilioanisha tukio hili la aibu kwa nchi kama kiki ya kisiasa wakijaribu kulidhalilisha jeshi la polisi na serikali ya awamu ya 5 kana kwamba imeshindwa kulinda amani. Mungu amewaumbua, Mo karibu nyumbani ukiwa Salama salimini
Mmejidhalilisha wenyewe kwa ushamba wenu na Kick huwa haiendelei, Polisi na Tanzania imevuka nguo siku zote badala ya kutafuta mtu nyie ni kulumbana na wanasiasa mpaka mtu karudi mwenyewe babu yako misuti alisema wametekwa 75 kabla ya MO hii si aibu kwamba kila mtu arudi mwenyewe.

Kaeni kimya kuficha upumbavu wenu jana Siro alisema hajui yuko wapi na kama mzima vipi leo apongezwe.
 
Watu wawili au kumi hawawezi kudanganya UMMA wa watu Million 40 Kwa wakati mmoja

Mkuu, ni ngumu sana kumdanganya mtu mzima mmoja tu mwenye akili timamu, hata kwa siku 5 mfululizo, iweje iwe rahisi kuwadanganya waTz Million 40+. Wanaoratibu haya mambo siamini kama hawalijui hili ninachokiona ni kiburi tu kwamba hata wakijua ni "Sisi" watatufanya nini zaidi ya kelele tu.
 
wapenda amani walipiga kelele mtanzania mwenzetu arudi..
haikujalisha alikuwa chama gani...
amerudi tumefurahi..
mbona unajishuku jombaa
ila ni wazi awamu ya tano imezalisha magaidi zaidi..
*magaidi hao wamefanya matukio mengi ya utekaji na watu kutishiwa ama kupigwa risasi..
halafu pombe huwa haongeagi..
ila la shilawadu atalitolea mapovu
 
Mkuu, ni ngumu sana kumdanganya mtu mzima mmoja tu mwenye akili timamu, hata kwa siku 5 mfululizo, iweje iwe rahisi kuwadanganya waTz Million 40+. Wanaoratibu haya mambo siamini kama hawalijui hili ninachokiona ni kiburi tu kwamba hata wakijua ni "Sisi" watatufanya nini zaidi ya kelele tu.
Wanaona hakuna tunaloweza kufanya
 
Nawaza tu katika stori nilizosikia kuhusu maiko jaksoni na akina eminem n.k

"gari ile ile ilomteka ndo ilompakia tena"
Hakufungwa kitu usoni ?

Kama hakufungwa ina maana aliwaona watekaji kwa macho?

Kama hakuwaona,vipi alione gari kwamba ndo lile lile kisha asiwaone watekaji?


Nimemuona Mo dewji sijuiiiiiiiiiiiiii
 
Nahumu:3.1
Ole wake mji wa damu! Umejaa mambo ya uongo na unyang'anyi; mateka hayaondoki.
Nahumu:3.2
Kelele za mjeledi, kelele za magurudumu yafanyayo kishindo; na farasi wenye kupara-para, na magari ya vita yenye kuruka-ruka;
Nahumu:3.5
Tazama, mimi ni juu yako, asema Bwana wa majeshi; nami nitafunua marinda yako mbele ya uso wako; nami nitawaonyesha mataifa uchi wako, na falme aibu yako.
Nahumu:3.6
Nami nitatupa uchafu uchukizao juu yako, kukufanya uwe mchafu, nami nitakufanya kuwa kitu cha kutazamwa kwa dharau.
 
Nawaza tu katika stori nilizosikia kuhusu maiko jaksoni na akina eminem n.k

"gari ile ile ilomteka ndo ilompakia tena"
Hakufungwa kitu usoni ?

Kama hakufungwa ina maana aliwaona watekaji kwa macho?

Kama hakuwaona,vipi alione gari kwamba ndo lile lile kisha asiwaone watekaji?


Nimemuona Mo dewji sijuiiiiiiiiiiiiii
Wanasema Aliwaona ila hakuweza kuwatambua walikua wamevalia mask mkuu
 
Back
Top Bottom