Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
kaa chini utulie na kuelewa mfano wa fundi bomba!Ndugu yangu haya ni maneno yako au? Nilidhani umejitambulisha hapo juu kuwa ni alumni wa MUCHS!
Hebu nitajie mwalimu mmoja tu pale muchs aliyekufundisha surgery, medicine, obs, psychiatry, paediatrics,
Ent, ophthalmology,...Kote huko awe yeye tu anakufundisha. Si ndio wanavyofanya mafundi bomba!
Hata kwenye specialisations kuna many subjects na kila moja linatakiwa mtu aliyebobea. Natumai umenipata.