GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
watu kama geniusmavi china mnanyongwa
Najua utatumia nguvu nyingi sana kum defend ila ukweli ndio huo, kijana nae ni fisadi
watu kama geniusmavi china mnanyongwa
Mleta hoja hakuandika kama ni tetesi, na tetesi si tuhuma za kuchafua watu. Tunachotaka humu ni ushahidi au facts zinazoweza kutusaidia kupata ukweli. Kipindi cha daladala huwezo kukifuatilia kupata ukweli. labda kama wale wanaozungumza wanafahamika, wanahojiwa kwa undani ili kuthibitisha madai yao, pia akili ya mwandishi mwenyewe kutambua uwezekano wa tuhuma yenyewe. Hata awe Makamba, januari, ngeleja, tutadai hayo ili kila mtu apate haki yake
Hizi ni habari za ndani kabisa na za uhakika, na tena huyu dogo kwenye akaunti yake ameingiziwa Tshs 280m kwenye benki fulani, muulizeni amepewa na nani ? asije kuwa anatumiwa na mapacha 3
sidhani kama mbunge aweza kuidhinisha eneo la kutupa taka!!!
Na kama alipewa hiyo rushwa basi mtoa rushwa si mfanyabiashara maana hajui namna ya kutumia fedha yake!!! IF SO THEN, HE GAVE THE WRONG PERSON!
Kaka nadhani utakuwa umekurupuka, Almost wabunge wote kawaida wakitoka kwenye uchaguzi na kuapishwa tu, cha kwanza ni kutafuta MIKOPO, Na hii MIKOPo huwa wantoa CRDB na NMB, Na average ya kila mbunge ni almost 200ML, kwahiyo mimi siwezi shangaa kuwa Mnyika ana 200+ kwenye akaunti.
Mleta hoja hakuandika kama ni tetesi, na tetesi si tuhuma za kuchafua watu. Tunachotaka humu ni ushahidi au facts zinazoweza kutusaidia kupata ukweli. Kipindi cha daladala huwezo kukifuatilia kupata ukweli. labda kama wale wanaozungumza wanafahamika, wanahojiwa kwa undani ili kuthibitisha madai yao, pia akili ya mwandishi mwenyewe kutambua uwezekano wa tuhuma yenyewe. Hata awe Makamba, januari, ngeleja, tutadai hayo ili kila mtu apate haki yake
Juzi nikiwa natizama kipindi cha daladala kinachorushwa na itv kila siku saa moja jioni.kuna tetesi mh. J.mnyika umechukua ela kutoka kwa magari ya maji taka ili yaendelee kumwaga maji taka hayo katika mabwawa ya kiwanda cha urafiki yaliyopo mabibo.je tuhuma hizi zina ukweli?tujulishe wapiga kura wako wa mabibo.
Juzi nikiwa natizama kipindi cha daladala kinachorushwa na itv kila siku saa moja jioni.kuna tetesi mh. J.mnyika umechukua ela kutoka kwa magari ya maji taka ili yaendelee kumwaga maji taka hayo katika mabwawa ya kiwanda cha urafiki yaliyopo mabibo.je tuhuma hizi zina ukweli?tujulishe wapiga kura wako wa mabibo.
Aliyewasilisha mada kasema mnyika kala pesa za magari ya maji taka yaani yale magari yanayopakua mavi katika vyoo vilivyojaa, sasa hakuna muda wa kupoteza kumtafuta aliyeongea nadhani madereva wa magari hayo ni wahusika wakuu sasa kamuulizeni. na hii itakuwa na maana hata mavi yanayopakuliwa huku ilala na buguruni yake watakuwa wanakuja kumwaga huko kwa Mnyika?!!! kweli dogo siasa na utajiri kashindwa kuvitofautisha mapema. wanaubungo mtegemee harufuuuuuuuuuuuuu mbayaMleta hoja hakuandika kama ni tetesi, na tetesi si tuhuma za kuchafua watu. Tunachotaka humu ni ushahidi au facts zinazoweza kutusaidia kupata ukweli. Kipindi cha daladala huwezo kukifuatilia kupata ukweli. labda kama wale wanaozungumza wanafahamika, wanahojiwa kwa undani ili kuthibitisha madai yao, pia akili ya mwandishi mwenyewe kutambua uwezekano wa tuhuma yenyewe. Hata awe Makamba, januari, ngeleja, tutadai hayo ili kila mtu apate haki yake
unachosea hakina makosa lakini kamuulize kama kapewa mkopo na benki gani kati hizo.bado naamini mpaka jamaa ameandika kuna milioni 280 kwenye akaunti ya Mnyika atakuwa huyu bwana ni mtu wa benki, na kama ni kweli ni mtu wa benki ni kwamba pesa iliyoingizwa kama mkopo huwa wanaona kwamba imeingizwa na nani kwa sababu gani. pesa nyingi kama hizo haziwezi ingizwa kienyeji enyeji na benki kubwa kama hizo
MODs please delete hii thread, imekaa kizushi sana, no proof, no mashiko, nothing, ngoja ni-Report abuseHizi ni habari za ndani kabisa na za uhakika, na tena huyu dogo kwenye akaunti yake ameingiziwa Tshs 280m kwenye benki fulani, muulizeni amepewa na nani ? asije kuwa anatumiwa na mapacha 3
MODs please delete hii thread, imekaa kizushi sana, no proof, no mashiko, nothing, ngoja ni-Report abuse
Jamani wana JF!
Ndio maana JF inaonekana ni CDM kwa kupinga kila kinachoibuliwa against CDM na kuunga mkono kila kinachohusu ccm, mngeambiwa J. Makamba kapewa hela na makampuni ya madini kusafirisha udongo wenye dhahabu nje ya nchi naamini mngeendelea kudodosa na kusaka ukweli na sio kumjibia kuwa hiyo ina mhusu waziri wa madini kama mnavyomjibia Mnyika sasahivi. Ingawa habari hiyo ni tetesi lakini source imetajwa kipindi cha daldala ingawa ushahidi zaidi katika hilo unahitajika na pia sio lazima kila tuhuma ijibiwe lakini ukimya pia unaleta hisia za kuwepo kwa viji chembechembe vya ukweli lakini pia watu huchokoza ili wapate kitu flani ndani yake. Tuvumiliane jamani tunapotofautiana.
Hizi ni habari za ndani kabisa na za uhakika, na tena huyu dogo kwenye akaunti yake ameingiziwa Tshs 280m kwenye benki fulani, muulizeni amepewa na nani ? asije kuwa anatumiwa na mapacha 3
MODs please delete hii thread, imekaa kizushi sana, no proof, no mashiko, nothing, ngoja ni-Report abuse
Sasa unataka tuanze kuamini JF ni ya Chadema. Hii thread haina matatizo yoyote na kama MODs wataifuta tutajiuliza maswali mengi. Mbona tumejadili habari nyingi sana zenye mwelekeo huu kwa viongozi wengine hasa wa CCM?
Kumbukeni JF ni jukwaa la watu wenye maoni na milengo tofauti. Mnyika mwenyewe hajakanusha iweje wengine mumsemehe?
Sasa naanza kuelewa kwanini watawala huwa wanaangamiza vyombo vya habari vinavyowapinga, hata wewe ungekuwa mtawala si ajabu ungefanya hivyo hivyo!
Mleta hoja hakuandika kama ni tetesi, na tetesi si tuhuma za kuchafua watu. Tunachotaka humu ni ushahidi au facts zinazoweza kutusaidia kupata ukweli. Kipindi cha daladala huwezo kukifuatilia kupata ukweli. labda kama wale wanaozungumza wanafahamika, wanahojiwa kwa undani ili kuthibitisha madai yao, pia akili ya mwandishi mwenyewe kutambua uwezekano wa tuhuma yenyewe. Hata awe Makamba, januari, ngeleja, tutadai hayo ili kila mtu apate haki yake