Mnyika, Lissu wameianza kazi waliyotumwa

Mkuu nimekuwa nikimfahamu kama Tundu Lissu, nadhani mama yuko sahihi na si Tindu kama ambavyo wengi hapa jamvini wamekuwa wakimuita.
 
Mbowe bogus alikua anatoa macho tu kazi aliyokua anaifanya lissu ni jukumu lake
Acha kuropoka wewe,We kwa mawazo yako Mgando unafikiri kila Mtu akurupuke tu humo itakuwaje,Mbowe ndo kiongozi wao hao kina Lissu kwahiyo anatakiwa awe makini sana na hoja yoyote atakayotoa lazima iwe na mshiko.Uongozi uliotukuka wa Mbowe unajidhiirisha kwenye nidhamu ya upigaji kura kwa hao Wagombea wa Chadema.
 
Hakikisha umecopy na kupaste bila kukosea username na password.
Na ujaribu tena au uje ujaribu mara nyingine,sometimes inagoma hivyo lakini baadae inakubalu.
Jakathesi
Nisaidie na mimi Username ipi au hadi u-donate ndipo upewe username?
 
Atleast Upinzani umeongea na kuchachafya bunge jipya,am sure hao CCM hakuna aliye liona la serial no. ila kuna mdau anasema waliona wakauchuna!!!!hiyo si kweli, wao walikua wanawaza tu next step ya kuchaguliwa kati yao kua mawaziri!

Wako kwa masilahi yao na familia zao!
Hongera Mnyika na Lissu kwa good move...walio lala wataamka tu soon!
 
Bunge la mwaka ujao sipati picha...sheria zipo kichwani na huyu mama makinda kwa umri ule sijui kama anaweza kuendana na kasi ya wabunge hawa vijana wanaojua kujenga Hoja....Mana anamwogopa Tindu mpaka anajifanya anakosea jinale eti Tundu Lisu

Yes, kweli Bunge la mwaka huu kumekucha. Bibi kizee Anne Makinda hataliweza kabsaaaaaaaaaaaaaaaa!
Maanake ameshaanza kuchemsha mapema mno. Ameshindwa kujibu hoja ya Tundu Lissu ambayo ilikuwa very logic! Bibi katumia ubabe tu kuizima na kumgandamiza Akoonay ajibu swali ambalo hakupashwa alijibu pale. I believe angelikuwa ni Mhe.Six kwewnye kiti ya Spika hilo swali lingetupiliwa mbali.Nilitamani Mhe.Mbowe kama kiongozi wa upinzani Bungeni ku-intercept ili ku-netraulise swali hilo maana lilikuwa la kizushi na pale haikuwa mahali pake! Anyway yamepita.

Ninachotaka kusema ni kwamba huyu Mhe.Tundu Lissu atamtoa kamasi Anne Makinda. Mama anababaika na anashindwa kutamka jina sahihi la Mhe.mbunge mara amuite Tindu mara Tandu...! Huyu jamaa ni mashine,ni mtambo hasa maana sheria na kanuni za Bunge tayari zimeshanata kwenye medulla oblongata sasa naanza kukubali kwanini Kikwete alisema huyu jamaa kama kuna uwezekano asiruhusiwe kuingia Bungeni kwa mbinu zozote. Lakini CCM walishindwa kumzuia Jimboni! Sasa chamoto watakiona.........na bado.
 
Bunge la mwaka ujao sipati picha...sheria zipo kichwani na huyu mama makinda kwa umri ule sijui kama anaweza kuendana na kasi ya wabunge hawa vijana wanaojua kujenga Hoja....Mana anamwogopa Tindu mpaka anajifanya anakosea jinale eti Tundu Lisu

Wewe ndio unakosea, jina la huyo mpiganaji ni TUNDU
 
Kwa mawazo yangu, Tundu Lissu amekurupuka!

  • Ni kweli hakuna serikali mpaka sasa
  • Ni kweli pia kamati za Bunge hazijaundwa kwa kuwa hata wabunge wanaendelea kuapishwa
  • Ni kweli mama alisema hoja ijadiliwe, Mbunge mmoja akasema hakuna haja wakaiunga mkono.
Sasa koseni kutoka hapa!

Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.

Tundu Lissu katumia kifungu kile kile kilichopangua hoja yake originally kupangua hoja yao.
 
Leo tumeshuhudia Tundu Lissu na John Mnyika wakimwonyeha speaker mpya jinsi bunge
jipya litakavyokuwa. Walionyesha umakini wakujua vifungu vya katiba na jinsi bunge linavyotakiwa kwenda. Niliona kama mama alisha anza ku loose temper. I cant see the picture how the parliament will operate in the next five years. Kumbuka miswada wala budgets hazijaanza. Vipi wana JF tunaweza toa hints za operation manual kwa Speaker na Naibu wake?
 
spikeeeee alikimbilia kusitisha mjadara wa mwongozo wa mweshimiwa tindu lisu,Jaziba.kutojiamini,kujichekeshachesha nafikili mama huyo atakimibilia kutoa odhabu kwa wabunge kuwa wanamdhalau.Sipendi kuona analia spikeee huyo
spikeeeeeeeeeeeeeeee----mwanamke
spikaaaaaaaaaaaaaa --- mwanaume
 
dah noma yani nimetune itv muda nna bahati kweli nikaanza na Mnyika.Guys are confident and flowing with vigour.
Hapa kazi ipo!..I am starting to love this Tundu Lisu guy!

Aisee, pole sana, kama ulikuwa hujamjua Tundu Lisu, jamaa ni mchapa kazi na anaijua sheria vizuri na ni mjenga hoja mzuri.
 
Mh ssita nae yuko na werema kwa wanavyoonekana wanajadili hoja ya lissu

Nae sitta angewaacha wagongane anasaidia nini? Huyu mama alifikiri uspika ni kula kuku na bia, kaingia na mbwembwe eti wabunge wasome kanuni za bunge vizuri kumbe yy anadesa, hapa patamu
 
Back
Top Bottom