Nani asiyejua kuwa kikwete ni dhaifu? Hivi unaposema urais ni tasisi, muundaji wa tasisi hiyo si yeye anayeteua marafiki baadala ya wachapakazi. Watanzania tuache uvivu wa kufikiri. Mawaziri dhaifu nani anayewateua, hao wakuu wa mikoa anateua nani kama si rais huyo aliye dhaifu. Kuwajibisha mawaziri au watendaji hadi ashurutishwe huyo si dhaifu. Shule hazina vitabu, shule binafsi wanapandisha ada kama hakuna mwenyewe, hali ngumu ya maisha, kugawa vyandalua huku dhahabu yetu ikipotea. Niambie wewe ni sekta gani inayofanya vizuri chini ya kikwete? Fikiri sana unapoposti hapa JF. Inawezekana wewe ni mbumbu au ni kibaraka tu usiyejua unachofanya. kikwete ni dhaifu na ndiyo maana hata watendaji wanafanya madudu wanayofanya.
Nawapa onyo ccm wasijisahau na kufikiri watanzania ni walewale na kufikiri bunge ni lao akina Ndugae, wajue cheo ni dhamana. wapo waliokuwepo hawapo. Hongera Mnyika kwa msimamo wako mhimu tuko nyuma yako na tunaamini kama unavyooamini kuwa tuna rais dhaifu kuliko wote waliomtangulia na pengine haitatokea kuwa na rais dhaifu kama Kikwete
Tusijaribu kuficha uchungu wa klorokwini kwa kuipaka sukari juu. Hao wote uliowataja na wengine uliowaacha (Mwanasheria Mkuu, Majaji, wakuu wa Bodi......) huwa wanachaguliwa na yeye. Ng'ombe anapoharibu vipando vya mtu hushitakiwa mchunga wake na Raisi wala asingeguswa kama angekuwa anawachunga kondoo wake.anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.
mkuu jukumu la bunge ni kusimamia na kushauri serikali but at the end of the day ukishauriwa unaweza ukachukua maamuzi /ushauri au ukaachana nao.ok by the way yameshasemwa mangapi ya richmond hayakufanyika,madini,
Kuendelea kuichekea serikali ya CCM na kiongozi wao dhaifu ni ujinga angalau Mnyika umesema ukweli na utabaki kwenye kumbukumbu kuwa Kikwete ni mdhaifu kashindwa kuiongoza nchi na hii serikali yake legelege...hivi hawa watoto wana matumaini gani?
View attachment 56860
Mkuu,
anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali.
Kama Rais Kikwete angekuwa Dhaifu basi bajeti ya mwaka huu ingesomwa na Mustafa Mkulo.
hata wewe ulieanzisha hii thread pia ni dhaifu sana. Kama hao wanataasisi ambao wote wameteuliwa na dr jk ni dhaifu wanawezaje kumwangusha asiekua dhaifu kuliko wao? Since 2010 mnasema tu wanaomwangusha rais ni watendaji wake. Ina maana anapowateua huwa hajui kama ni dhaifu?
Kubali kataa mnyika yuko sawa kabisa kuwa mkuu wa nchi ni dhaifu thats it. Mara ngapi hapa jf hii kitu inasemwa? Au kwa vile imesemwa bungeni na mbunge wangu mnyika?
Kiongozi anaekubali madhaifu yake na kubadilika huyo ndio kiongozi sio anaekaa kusubiria watu kama wewe wamtetee kwa kusulubisha wengine kuwa eti ndio wanamwangusha. Kama ni dhaifu basi ni dhaifu. The only way is to change sio kubishana.
Kama jk ni dhaifu ilikuaje wakaenda ikulu kunywa juisi na kiongozi dhaifu?. Nilidhani bunge litakuwa na busara baada ya Lema kuondolewa.
Kuendelea kuichekea serikali ya CCM na kiongozi wao dhaifu ni ujinga angalau Mnyika umesema ukweli na utabaki kwenye kumbukumbu kuwa Kikwete ni mdhaifu kashindwa kuiongoza nchi na hii serikali yake legelege...hivi hawa watoto wana matumaini gani?
View attachment 56860CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeView attachment 56861Dogo wabunge wako wanashinda kutukana chama cha upinzani.