Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Mkuu upo? Nakusubiri na wewe uingie Bungeni uwe Kinara kama Mnyika. Zamani Zitto ndio alikuwa Kinara lakini sasa naona Mnyika ndio Kinara.
Nipo mkuu wangu.
Niombee Mungu tu kaka.Kuingia Bungeni ni kuwakilisha kwa weledi.Ukinara unakuja kama matokeo tu.
Ni vyema tukawa sasa na vigezo vya kupima performance kitaalamu kwa kuangalia idadi ya michango na impact ya michango yako katika kubadili,sheria,kanunni au policy mbaya na kuleta zilizo bora.Hicho kitakuwa kigezo bora zaidi,na kama nitakuwa mbunge ningependa ubora/ukinara wangu upimwe kwa vigezo hivi.
While some politicians were great for a season because they defended the interests of the ordinary Tanzanians when those interests converged with their personal pecuniary or political interests, 'Mbunge yeyote ili awe kinara' should side with the people every time and on every issue. No one can dispute this.