Naona huu uchafu wako mods wameuunganisha jiue kwi! Kwi! Kwi! Kwi!Hili halinamtu wa kupinga.
Mnyika nikati ya wabunge nchini tanzania ambao ni dhaifu.
1. Mnyika kazi yake kupiga kelele tu bila kutekeleza ahadi za jimbo lake.
2. Huyu mnyika hataki hatakukutana na wananchi wake.
3. Hajawahi hata sikumoja bungeni kusemea kero za jimbo lake.
4. Mnyika ni dhaifu sana kero za maji za kimara hazisemei yuko kimya tu haji kutuona huku kimara.
kazi yake kuhamasisha maandamano watu waandamane ili walete fujo.
5. Mnyika alikuja analia lia ubungo akiomba msaada watu wamchangie wakati wa kampeni (Mnyika unakumbuka pale shekilango ulivyokuwa unalia wakati wa kampeni kuwa hujiwezi na watu wakakuchangia?) sasa mnyika kafanya nini shekilango.
Mnyika alikuwa akizunguka kweli na kuonakana kama mtu mzalendo kumbe anataka kula tu.
Mnyika ni dhaifu.
Naona huu uchafu wako mods wameuunganisha jiue kwi! Kwi! Kwi! Kwi!
Mkuu anzisha thread nyingine yenye tittle hiziUtajiju kwi kwi kwi chi Mnyika ni dhaifu tu.
Simple.
Wanajali
Wanajua wajibu wao
Wana Kiu ya Maendeleo
Wana akili kuliko wabunge wa CCM
Bidii
Weredi wa Kujenga hoja
n.k