Itakuwa ni fedha...hivi mnyika ni mchaga naye??Mbona haeleweki. Anaomba msaada wa fedha, chakula, vinywaji au nini?
Mbona haeleweki. Anaomba msaada wa fedha, chakula, vinywaji au nini?
Si upewa telephone number hapo! Kwanini usiwapige na maswali yako ukaelekeza huko? Mbona unapenda kuwa spoon feed kama SIOI SUMARI?
Kutoka tweeter;
Kwa wale wanaotaka kushiriki na kuongeza nguvu ktk kampeni zetu za CHADEMA Vijibweni-Kigamboni wasilianeni na:Kilewo 0714225960/0756091748
Mbona haeleweki. Anaomba msaada wa fedha, chakula, vinywaji au nini?
Kutoka tweeter;
Kwa wale wanaotaka kushiriki na kuongeza nguvu ktk kampeni zetu za CHADEMA Vijibweni-Kigamboni wasilianeni na:Kilewo 0714225960/0756091748
Chama kimefilisika hiki, mtatuomba mpaka nguo zet a ndani sasa tuuze tuwachangie....
wameomba hujalazimishwa kutoa..hata hivyo ni lini walituambia wao ni matajiri kama magamba wezi
Kutoka tovuti ya Mh. John Mnyika
Wednesday, March 21, 2012
Soma, Shiriki na Shirikisha na wengine kuwezesha mabadiliko ya kweli
Soma, Shiriki na Shirikisha na wengine: Mabadiliko Arumeru Mashariki (Arusha) na Vijibweni (DSM) yatawezeshwa na wewe, mimi na wenzetu.
Kesi ya uchaguzi wa Ubunge Ubungo imenifanya nishindwe kurudi Arumeru Mashariki mapema kwa kuwa nawajibika kuandaa ushahidi na mashahidi. Kiroho nipo pamoja na makamanda wengine katika mapambano kuhakikisha Nassari anaungana nasi kupunguza hodhi ya chama kimoja bungeni. Katika siku hizi ambazo nalazimika kuwepo DSM, kiakili na kimwili pamoja na kesi na majukumu mengine ya kibunge naelekeza nguvu katika uchaguzi wa udiwani kata ya Vijibweni Jimbo la Kigamboni Manispaa ya Temeke.
Marafiki zangu na wote mnaouniunga mkono mlio Arusha naomba muwezeshe uwepo wangu kiroho kwa kushiriki katika harambee ya kuchangia chama itakayofanyika Naura Spring Hotel tarehe 23 Machi 2012 kuanzia saa 1 Usiku. Wasilianeni na Mwigamba 0784815499 au 0713953761 kwa maelezo na maelekezo. Mkishashiriki mnipe mrejesho kuhusu ushiriki wenu kupitia mnyika@chadema.or.tz ili Mungu akipenda nikija Arumeru Mashariki mwishoni mwa kampeni kuongeza nguvu tuweze kuonana. Hakuna Kulala; Mpaka Kieleweke.
Marafiki zangu na wote mnaoniunga mkono katika Jiji la Dar es salaam naomba mshirikiane nami kwa hali na mali kuhakikisha kwamba Manispaa ya Temeke ambayo ndio pekee katika mkoa wa Dar es salaam isiyokuwa na Diwani yoyote wa kata wa CHADEMA inapata walau mwakilishi mmoja kutoka chama mbadala. Wasilianeni na Kilewo 0714225960 au 0756091748 kwa ajili ya maelezo na maelekezo na mnipe mrejesho kupitia mnyika@chadema.or.tz. Kwa kipindi cha mwaka mmoja cha utumishi wa umma nimeshuhidia umuhimu wa kuchanganya vyama katika mabaraza ya madiwani katika kuongeza uwajibikaji kwenye usimamizi wa fedha za umma katika serikali za mtaa ambazo ndio zinashughulikia kwa kiwango kikubwa masuala ya maendeleo katika maeneo yetu. Tuunganishe nguvu ya umma kuwezesha mabadiliko ya kweli. Shiriki sasa na shirikisha na wengine; Maslahi ya Umma Kwanza.
John Mnyika (Mb), Mkurugenzi wa Habari na Uenezi (CHADEMA)-22/03/2012
Utafiti wa Aweda si ulituhakikishia ushindi wa 70%?
Chama kimefilisika hiki, mtatuomba mpaka nguo zet a ndani sasa tuuze tuwachangie
Wewe utakiwi umuelewe elewa magamba wenzako Kama wassira Mzee wa msitu wa gombe au matunda yameisha huko poriniMbona haeleweki. Anaomba msaada wa fedha, chakula, vinywaji au nini?
Nakumbuka mkuu tena alisema kawahoji wakazi wote wakasema wataichagua Chadema sasa sijui pesa ya nini tena.
Chama kimefilisika hiki, mtatuomba mpaka nguo zet a ndani sasa tuuze tuwachangie