geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 644
Mnyika amemtetea vikali Dr.Slaa na kupingana na wale wanaomkejeli na kumuona hana mchango CHADEMA.
Mnyika anasema Dr.Slaa anao mchango wake na yaliyomkuta ni mambo kama yaliyowahi kumkuta Samsoni kwa Delila.
Naomba kuisha hapa.
Wala hajakosea sana. Dellilah wa bibilia alishikishwa chapaa(mshiko) wa kutakata na wale Wafilisti nae Mshumbusi kama kashikishwa mshiko wa kutosha kujenga hayo mashule na mahospitali kama alivyokiri na kama alimwonyesha mchumba wake nae akashawishika na kwa kuwa ni dhaifu kwa yule mama akakubali kuyasaliti makubaliano ya ukawa ndio maana tumemwacha na mchumba wake pembeni sie tunaendeleza mapambano. Awe mwangalifu kama mshiko anao mama asije akaanza kulia lia baadae.