Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,365
- 7,609
Kitu nampendea mnyama huyo ni ulaji wake. Yaani vile vitu katika Hali ya kawaida siwezi Kula huku vikiwa Na vitamini Na madini hitajika mwilini, mnyama huyu anavila kisha anavikonveti kuwa nyama yake Na mie nafaudu vitamini, madini Na utamu kupitia nyama yake.
Wacha watu wakatazane Kula ili mnyama asiwe adimu. Allahu Akbar Mungu Mkubwa katuletea mnyama
Wacha watu wakatazane Kula ili mnyama asiwe adimu. Allahu Akbar Mungu Mkubwa katuletea mnyama