Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Huyu ndiye Mzee Zakaria Ndemfoo wa Babati.
Wow nimefurahi sana kumon aliuwamaaufu saana. TBC wangewaalika kweny unction maalum!
Huyu ndiye Mzee Zakaria Ndemfoo wa Babati.
Mahiri obare alikuwa akiitwa anaitikia naaaaaaaaaaaaaaaaaam
kha! umenikumbusha mbal sana enz izo nlkua napenda sana kuisikia saut yake anavoitikia aisee nlkua nakufa kwa kicheko
21. Ongeza..... Sura Mbili ( nimesahau jina la kwanza maana hii ni AKA - Huyo alikuwa akituma zile salam za kuunganisha anataja watu kama 10 kama salamu za kwanza, za pili watu kama 30..nk.. alikuwa ana kipaji cha kuongea kama cherehani!
Huyu alikua Sura Mbili Kiango Mamanyi kama sijakosea.
Nyuzi za JF huwa hazifi kumbe bado hii inaendelea mwaka huu tena, kulikuwa na Mnyonge Kwavira kama sikosei na Bongo ExperienceWee ndio angalau umewataja wa enzi hizo. Enzi za mawimbi ya MW na SW. mf Chivalavala wa Chivalavala wa Mahuta,Newala, Zakaria Ndemfoo wa Babat-Arusha.
Zama hizo unasikia matangazo kama vile
" Philips ndiyo yenyewe,,...sauti safi, sauti kubwa, ndiyo yenyewe." Hawa wengine wanawataja wa zama za FM. Hizi niza kuanzia 1996.
Huyu ndiye Mzee Zakaria Ndemfoo wa Babati.