Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 534
Habari zenu wanabodi.
Nina kitambo sana tokea niache kusikiliza redio kutokana na shughuli za hapa na pale.Bila shaka kwa wale wapenda kusikiliza redio mtakua mnawafahamu hawa watu. Nilikuwa nikipenda sana utaratibu wao wa kukumbukana kwa kupitia redio, wengine walifahamiana kwa njia hii hii ya kutumiana salamu maredioni.
Watu kama Tumbuiza Tweve aliekua akijiita Kamanda la wakinga, Lawena msonda a.k.a baba mzazi, Fikiri Dario, Top Manyota, Edward Kabamba, Zakary Ndemfoo, Mama Africa nakati Manyara, Masanja wa Kuyanja, Filbert Kiyauki, Chadela camp na wengineo wengi. Baadhi hata wamekuwa maarufu kwa kupitia njia hii.
Nilikua napenda kujua kwa wale ambao bado ni wasikilizaji hawa watu bado wanaendelea na utaratibu huo au kukua kwa utandawazi iliopelekea matumizi makubwa ya smartphone nchini imeua kabisa haka kautaratibu.
Nina kitambo sana tokea niache kusikiliza redio kutokana na shughuli za hapa na pale.Bila shaka kwa wale wapenda kusikiliza redio mtakua mnawafahamu hawa watu. Nilikuwa nikipenda sana utaratibu wao wa kukumbukana kwa kupitia redio, wengine walifahamiana kwa njia hii hii ya kutumiana salamu maredioni.
Watu kama Tumbuiza Tweve aliekua akijiita Kamanda la wakinga, Lawena msonda a.k.a baba mzazi, Fikiri Dario, Top Manyota, Edward Kabamba, Zakary Ndemfoo, Mama Africa nakati Manyara, Masanja wa Kuyanja, Filbert Kiyauki, Chadela camp na wengineo wengi. Baadhi hata wamekuwa maarufu kwa kupitia njia hii.
Nilikua napenda kujua kwa wale ambao bado ni wasikilizaji hawa watu bado wanaendelea na utaratibu huo au kukua kwa utandawazi iliopelekea matumizi makubwa ya smartphone nchini imeua kabisa haka kautaratibu.