Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
Nimeona hii picha katika "kitabupicha" cha Ndugu Mhonga Ruhwanya inaelekea Azimio la Arusha ni sera ya Chadema baada ya kuachwa na Chama cha Matusi (CCM).
shenzi type wanachezea nguvu ya umma watajibeba..
Nimeona hii picha katika "kitabupicha" ya Ndugu Mhonga Ruhwanya inaelekea Azimio la Arusha ni sera ya Chadema baada ya kuachwa na Chama cha Matusi (CCM).
Nimeona hii picha katika "kitabupicha" cha Ndugu Mhonga Ruhwanya inaelekea Azimio la Arusha ni sera ya Chadema baada ya kuachwa na Chama cha Matusi (CCM).
Utaipenda hii ndio arusha bana wenzako tulishaamka kitambo wewe bado umeganda na hao magamba wenzako tz inaelekea kwenye mabadiliko sasa.nakushauri uamke sasa kumekucha
Utaipenda hii ndio arusha bana wenzako tulishaamka kitambo wewe bado umeganda na hao magamba wenzako tz inaelekea kwenye mabadiliko sasa.nakushauri uamke sasa kumekucha
Utaipenda hii ndio arusha bana wenzako tulishaamka kitambo wewe bado umeganda na hao magamba wenzako tz inaelekea kwenye mabadiliko sasa.nakushauri uamke sasa kumekucha
Kudadekiiiii sisiem wataishia kunawa na kula hawali tena!
Kila jambo na wakati wake!
Crashwise!
Uko wapi? Hebu weka ile thread yako hapa."TUMEANZISHA OPERESHENI YA ZIKA ccm FUFUA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO" hebu bonyezea hapa leo!
Mpk kielewekeeeeeeeeeee!!