Mnaomshambulia Spika wa Bunge amewakosea nini?

[19/06, 15:15] New Force: Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
[22/06, 09:04] New Force: Mkataba ungekuwa unasema hivyo kama anavyosema waziri mkuu Kassim Majaliwa tusingelalamika.

Sasa hivi ufafanuzi unatolewa mwingine na mkataba unasema mengine, sisi watanzania hatutasikiliza chochote ambacho hakipo kwenye mkataba ,yatakuwa ni matumizi mabaya ya masikio yetu.
Hata chifu Mangungo wa Msovera alipewa maelezo mazuri sana

Kuna gunduzi nyingi sasa hivi kama magari ya kutumia umeme, gesi na mwarabu anategemea mafuta kwa hiyo walishaona mbali sana ndiyo maana ya mikataba ya milele.

Next generation biashara ya mafuta inaweza kuja kuwa ya kawaida sana lzm waandae pa kukimbilia
we bado hujaharisha huo uvundo wa mafisadi wa sukuma gang?
 
Marais waislam hawafanyagi lolote la maana zaidi ya kuuza nchi yetu.
Kilio cha ubinafisishaji na mikataba ya hovyo ilisainiwa enzi za utawala wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia!
Ma Rais waislam hawa hamasishi watu kufanya kazi badala yake huwa hamasisha watu kukabidhi rasilimali zao kwa watu wengine na wao wawe watazamaji tu.
Marais wakiristo wanaamini katika kufanya kazi na kujitegemea, angalia kuanzia Nyerere, Mkapa, na Magufuli waliamini katika kufanya kazi na kujitegemea kupitia ujenzi wa viwanda.
Tatizo ni elimu au malezi?
Mkataba ungekuwa unasema hivyo kama anavyosema waziri mkuu Kassim Majaliwa tusingelalamika.

Sasa hivi ufafanuzi unatolewa mwingine na mkataba unasema mengine, sisi watanzania hatutasikiliza chochote ambacho hakipo kwenye mkataba ,yatakuwa ni matumizi mabaya ya masikio yetu.
Hata chifu Mangungo wa Msovera alipewa maelezo mazuri sana

Kuna gunduzi nyingi sasa hivi kama magari ya kutumia umeme, gesi na mwarabu anategemea mafuta kwa hiyo walishaona mbali sana ndiyo maana ya mikataba ya milele.

Next generation biashara ya mafuta inaweza kuja kuwa ya kawaida sana lzm waandae pa kukimbilia
Uongozi mbovu usiuhusishe na Dini , uongozi mbovu unatokana na uweledi wa kiongozi husika.wapo waislamu waliokuwa na uwezo lakini hawakupata nafasi kama Dr Salim Ahmed Salim, Brigedia Hashim Ngwiliza ,Maruhum Abdallah Kigoda
 
Spika wa Bunge anadhalilishwa na kushambuliwa kila mahali huku tukijua kuwa Dkt. Tulia ni Daktari wa PhD na sio Dokta wa Mchongo kwanini tunashindwa kuheshimu taaluma yake?

Kosa lake ni nini hadi ashambuliwe kiasi hicho?
We una hamu ya kutukana wakubwa wewe.
Kwa hiyo unataka kutuambia Dr wa mchongo ni nani sasa kwenye issue ya Bandari?
 
Back
Top Bottom