kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
yule jamaa alikuwa anamiliki hiace kibao mjini dsm zilizokuwa zinaitwa madinda trans yule aliyekuwa anaongozwa kupewa big up na bendi za kibongo enzi hizo. Yule aliyekuwa mme wa mcheza show maarufu wa twanga pepeta asha madinda? Jamb amefulia mbaya huwezi amini yupo dodoma now anaishi sehemu 1 inaitwa mnadani now ni dereva wa tamisemi