superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
vumilia ndg usiache kazi kabla haujapata kwingine ila lalamiko lako la kutaka kwenda lunch pamoja halijatulia
Show him love, obedience and respect - it will drive HIM CRAZY. Unaweza kushangaa yeye ndo anaweza kukimbia ofisi na kuwaacha nyie mnadunda.
1. Tunza mawasiliano yenu kwa maandishi. Kama mnadiscuss nae kitu, mkimaliza, mtwange email....folloiwng today's discussion etc..
2. Kama anakupa assignment kwa email hakikisha ukimjibu unacopy na wengine ili asijesema hutimizi wajibu wako au kazi yako ilikuwa mbovu
3. Kama anakupatia kazi flani na wakati huo huo unafanya kazi nyingine, mwambie politely kazi unayofanya wakati huo na kama anaridhia uipige chini ili ufanye anayotaka yeye. Kama watu wengine wanasikia, ni poa. Kama hakuna mtu, mtumie email ili kuweka kumbukumbu asije kukugeuka siku za usoni!
4. Be smart, work on agreed targets and meet your deadlines
5. Usipanic na wala usimuonyeshe kwamba anakutesa.
Show him love, obedience and respect - it will drive HIM CRAZY. Unaweza kushangaa yeye ndo anaweza kukimbia ofisi na kuwaacha nyie mnadunda.
1. Tunza mawasiliano yenu kwa maandishi. Kama mnadiscuss nae kitu, mkimaliza, mtwange email....folloiwng today's discussion etc..
2. Kama anakupa assignment kwa email hakikisha ukimjibu unacopy na wengine ili asijesema hutimizi wajibu wako au kazi yako ilikuwa mbovu
3. Kama anakupatia kazi flani na wakati huo huo unafanya kazi nyingine, mwambie politely kazi unayofanya wakati huo na kama anaridhia uipige chini ili ufanye anayotaka yeye. Kama watu wengine wanasikia, ni poa. Kama hakuna mtu, mtumie email ili kuweka kumbukumbu asije kukugeuka siku za usoni!
4. Be smart, work on agreed targets and meet your deadlines
5. Usipanic na wala usimuonyeshe kwamba anakutesa.
Fuata ushauri huu utakusaidia.
Inakubidi uwe mvumilivu na mwangalifu katika kazi zako. Isije kuwa anataka akufanyie vitimbi ili uache kazi kisha amlete ndugu yake!!
Nakikumbuka enzi za utoto nacheka sana............... "MI NIMEKAA TU MWENYEWE KAJA KUNIPIGA".............. sababu za kupandishiana zilikuwa nini............???Mwenzenu nimekumbwa na masahibu ambayo najua wengi pia wamepitia sema tunatofautiana uvumilivu na kuhandle stress.
Napiga mzigo kwenye kampuni binafsi bosi mpya wa sasa nae pia mwajiriwa kama sie wengine.Mwanzoni alikuwa mtu wa kawaida kama sisi ila baada ya wakubwa watatu wa juu kuacha kazi, akapandishwa cheo. Ghafla katubadilikia, ni mateso bila chuki na mie sio mvumilivu wa manyanyaso, sema pakwenda sina kozi nina watoto nasomesha na sijapata kwingine.
Naomba msaada wa mawazo, hapa naandika kutoka ofisini, manake jana jioni tumepandishiana kidogo. Yeye anaelewana sana na mkurugnzi nahisi ndio kinachomfanya atunyanyase wenzie. Plz i need ur help kimawazo na how to handle him li isiniafec manake saa nyingine nahisi kuondoka nimwachie ofisi.
Nakikumbuka enzi za utoto nacheka sana............... "MI NIMEKAA TU MWENYEWE KAJA KUNIPIGA".............. sababu za kupandishiana zilikuwa nini............???
Ukifanya kitu gani ndo huwa anakunyanyasa........??
Mwenzenu nimekumbwa na masahibu ambayo najua wengi pia wamepitia sema tunatofautiana uvumilivu na kuhandle stress.
Napiga mzigo kwenye kampuni binafsi bosi mpya wa sasa nae pia mwajiriwa kama sie wengine.Mwanzoni alikuwa mtu wa kawaida kama sisi ila baada ya wakubwa watatu wa juu kuacha kazi, akapandishwa cheo. Ghafla katubadilikia, ni mateso bila chuki na mie sio mvumilivu wa manyanyaso, sema pakwenda sina kozi nina watoto nasomesha na sijapata kwingine.
Naomba msaada wa mawazo, hapa naandika kutoka ofisini, manake jana jioni tumepandishiana kidogo. Yeye anaelewana sana na mkurugnzi nahisi ndio kinachomfanya atunyanyase wenzie. Plz i need ur help kimawazo na how to handle him li isiniafec manake saa nyingine nahisi kuondoka nimwachie ofisi.
Punguza ku-access JF wakati kazi za watu zinaendelea.....JUST KIDDING
Bila JF si ndio ofisi ingekuwa chungu kabisa??? angalau nikiingia humu hasira zipungua sema cku akinibamba ndio itakuwa noma. Sema kiswahili kizuri hivi haelewi ndo raha yake.