Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 408
Assignment na maagizo yote anatoa kwa e mail au kimemo na hataki maswali au ufafanuzi wowote. Sasa hapo kazi itaenda kweli??.
Ukimfata oficn anakupa maelezo huku anaendelea kutazama computer yake as if u r rabbish. Ana maudhi kwa kweli. Dunia hii....
Ingia ofisini kwake, funga mlango kwa funguo, then mchape makofi!