Hajatumwa ndio uwezo wake umefika mwishoWamrudishe Dr Slaa, ni kweli huyu Jemba nyingine anaua chama chao, kwa maneno ya kashfa. Ametumwa wawe makini naye.
Hajatumwa ndio uwezo wake umefika mwishoWamrudishe Dr Slaa, ni kweli huyu Jemba nyingine anaua chama chao, kwa maneno ya kashfa. Ametumwa wawe makini naye.
Lema anaweza akawa na nia nzuri lakini uwasilishaji wa hoja zake ni wa dharau kubwa na kejeli kwa wananchi wa hali ya chiniChadema ni ama wamruke au wafanye press kufafanua kauli za Lema zieleweke vizuri.
Mara laana mara wanae wakiendesha boda anafukuza. Inakuwa kama kavuta bangi. Jenga hoja vizuri kwa tahadhari bila kuleta taharukiLema anaweza akawa na nia nzuri lakini uwasilishaji wa hoja zake ni wa dharau kubwa na kejeli kwa wananchi wa hali ya chini
Angejipa muda asome mazingira, atulize akili azungumze constructive opinions na sio kuyoa hoja za kuwadhalilisha watu
Imeharibika na wewe miguu yako umesugua magamba?Aiseee!Sasa unalalamika kwa nini?Huoni unapata faida?Vipi,bodaboda yako nzima?
Imekuwa buku 10 sasa hivi. Imepanda kidogo si haba.Kaka hivi buku7 yako ni yakupambana lema?
slaa anabusara gani yule babuWamtafute tu Mzee mwenye busara, Dr. Silaa awape somo namna ya kukiimarisha chama.
Kwani kumpigia simu kikwete kuna tatizo Gani?Lema Kuna mission anayo, maana sio kwa kuropoka huko. Ndio maana nikawashauri CHADEMA, mwaka 2025, Arusha wamsimamishe Amani Golugwa sio Lema, Lema kaja nanmission yake ya kumaliza CHADEMA. Naona anaropoka makusudi. Mtu anakuambia alimpigia simu Kikwete, huyo sio wa kumwamini Tena.
All in all CHADEMA watoe kauli ya kupinga matamko ya Lema yasioonekane ni ya chama.
Lema anaiua Chadema, lakini wanaohudhunika ni CCM.
LEMA anakosesha kura wagombea wa wa Chadema lakini wapiga kura wa CCM ndio wanalalamika kwa tabia hiyo ya Lema.
Hakika mwaka huu 2023 umejaa maajabu haijapata kutokea, ila wenye akili wameelewa.
Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Akili za bodaboda kma zakoUkimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Kama speech zinaua chama ccm ingekufa 2005_2020Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Tatizo lenu masikini wa akili na mali mkiambiwa ukweli mnachukia badala ya kujitafakari siku chadema ikifa uwenda hata sehemu uliyozikwa Kutakuwa kumejengwa ghorofa.Lema ameshakuwa liability kwa CHADEMA. Wasipomfunga break mapema ataleta shida kwa chama
Sijawahi kumuadmire kabisa,huwa namuona mtupu kichwani na mpenda sifa na recognition!Anaropoka sana. Jamaa anapenda sana umaarufu. Anapenda sana kuongea na kichwani hayupo smart. Ingawa yeye anadhani yupo smart. Na kuna machawa wake wanamwita Nabii.
Adui yao bodaboda ni ujinga na njaa sio LemaMambo ya fei toto hayo hao Bodaboda watakuwa ccm hao