Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,401
Waheshimiwa
Na wataalum wote
wa mambo ya mahusiano,mapenzi na urafiki
naombakuuliza ni nini au ni kitu gani
Kinacho mfanya mtu kuoa au kuolewe?
Je ndoa zote ni matokeo ya upendo wa hali ya juu??
Ni hayoo tu
Ps. ..maoni yote yana karibishwa
asanteni
AD
dah.. huwa inatokea mtu! mtu umekaanaye kama g.f.b.f wako kwa muda mrefu.. basi inafika kipindi unahitaji kuwa naye karibu zaidi nafkri the only way ni ndoa