Mmmh..? SELIKALI YETU BWANA [tcu na jkt]

faraji yassin

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
243
24
Kiukweli serikali yetu ni mbovu sana ina mana imeshindwa kabisa kujua kua izi sector mbili zinaingiliana kiutendaji wa kazi yani kila sector ina ratiba yake na zinaingiliana. Aya jkt wanataka wanataka wanafunzi waende mafunzoni tarehe 28 na vyuo vinafunguliwa tarehe 12 mwezi wa kumi ivi kiukweli ukiangalia apa kuna cooperation among the sectors definitely utajua kua hakuna sasa ndio nini kama sio kuchanganya watu ina mana wameshindwa kujadiliana kwanza ndo wakatoa habari yani wanakuja kukubaliana wakati wameshatangaza kwenye mitandao kama sio kukosesha watu amani ni nini yani wanataka kuchanganya elimu na siasa kiukweli serikali yetu inafanya vitu bila kua na mawasiliano baina ya sectors This is what we call poor cooperation and cordination among the sectors....!
 
Kiukweli serikali
yetu ni mbovu sana ina mana imeshindwa kabisa kujua kua izi sector mbili
zinaingiliana kiutendaji wa kazi yani kila sector ina ratiba yake na
zinaingiliana. Aya jkt wanataka wanataka wanafunzi waende mafunzoni
tarehe 28 na vyuo vinafunguliwa tarehe 12 mwezi wa kumi ivi kiukweli
ukiangalia apa kuna cooperation among the sectors definitely utajua kua
hakuna sasa ndio nini kama sio kuchanganya watu ina mana wameshindwa
kujadiliana kwanza ndo wakatoa habari yani wanakuja kukubaliana wakati
wameshatangaza kwenye mitandao kama sio kukosesha watu amani ni nini
yani wanataka kuchanganya elimu na siasa kiukweli serikali yetu inafanya
vitu bila kua na mawasiliano baina ya sectors This is what we call poor
cooperation and cordination among the sectors....!

wapuuuz tu hawa wanaumiza vichwa vya watuu bure
 
jaman wa2 tayar wamelpa ada na wengine wameanza hata kusoma mf.saut mwanza leo tn unataka aende jkt kwel wamevurugwa co kdogo
 
Kiukweli serikali yetu ni mbovu sana ina mana imeshindwa kabisa kujua kua izi sector mbili zinaingiliana kiutendaji wa kazi yani kila sector ina ratiba yake na zinaingiliana. Aya jkt wanataka wanataka wanafunzi waende mafunzoni tarehe 28 na vyuo vinafunguliwa tarehe 12 mwezi wa kumi ivi kiukweli ukiangalia apa kuna cooperation among the sectors definitely utajua kua hakuna sasa ndio nini kama sio kuchanganya watu ina mana wameshindwa kujadiliana kwanza ndo wakatoa habari yani wanakuja kukubaliana wakati wameshatangaza kwenye mitandao kama sio kukosesha watu amani ni nini yani wanataka kuchanganya elimu na siasa kiukweli serikali yetu inafanya vitu bila kua na mawasiliano baina ya sectors This is what we call poor cooperation and cordination among the sectors....!

aibu asee... tutakua lin apa Tanzania kwetu !!!! ouggbhh.. shughuli kwelkwel
 
Naomben hzo link ni mchek mdogo angu kachaguliwa kambi gan ------- hawa manina zao
 
Na tutaburuzwa hadi basi, viongoz gan hawana msimamo? kweli sis wa bongo ni kam kondoo, Watu wamesharipoti vyuoni na wameshalipa ada
 
kiukweli cha msingi apa ni kua na umoja kama hatuendi tusiende me mwenyewe nimechaguliwa ila siendi ndo msimamo wangu tarehe 12 nasubilia kwenda chuo na nimeshalipia direct cost
 
kiukweli cha msingi apa ni kua na umoja kama hatuendi tusiende me mwenyewe nimechaguliwa ila siendi ndo msimamo wangu tarehe 12 nasubilia kwenda chuo na nimeshalipia direct cost


Hakuna mtu atakayechukua nafasi yako ya chuo..
Hakuna mtu atakayekula pesa zako za direct cost..
Lakini kuna mtu atachukua ajira yako kwa kigezo cha cheti cha jkt...

jamani twendeni tu jkt
 
Hakuna mtu atakayechukua nafasi yako ya chuo..
Hakuna mtu atakayekula pesa zako za direct cost..
Lakini kuna mtu atachukua ajira yako kwa kigezo cha cheti cha jkt...

jamani twendeni tu jkt

sasa apo kila mtu ana choice yake mi napenda elimu kuliko ukakamavu so ngoja niende kwenye elimu we nenda ukakamavuni
 
Hakuna mtu atakayechukua nafasi yako ya chuo..
Hakuna mtu atakayekula pesa zako za direct cost..
Lakini kuna mtu atachukua ajira yako kwa kigezo cha cheti cha jkt...

jamani twendeni tu jkt

hakuna hiyo mbona kaka zetu na dada zetu hawakupitia jeshi na wataajiriwa kuhusu kuajiliwa ni ujanja wako tu currently twende chuo kwanza tupate elimu mengine mbele ya safari
 
amna kitu cha namna hiyo coz ajira hizo zitakosekana serikalini tu na sio private sector ,mfano mzuri ni mzee wangu alisoma kipindi kile jkt iko serious but hakwenda na anafanya kazi katika shirika la serikali .Tanzania yetu ya leo ya rushwa mtu aende kuomba ajira aombwe certificate ya jkt hayo ni maajabu.so usiwadanganye watu hawatapata ajira .na ukisema twende jkt unakosea sema uende jkt coz haukuzaliwa na mtu.
 
amna kitu cha namna hiyo coz ajira hizo zitakosekana serikalini tu na sio private sector ,mfano mzuri ni mzee wangu alisoma kipindi kile jkt iko serious but hakwenda na anafanya kazi katika shirika la serikali .Tanzania yetu ya leo ya rushwa mtu aende kuomba ajira aombwe certificate ya jkt hayo ni maajabu.so usiwadanganye watu hawatapata ajira .na ukisema twende jkt unakosea sema uende jkt coz haukuzaliwa na mtu.

si ndo apo bwana elimu ndo kila kitu kama unaenda jeshini we nenda lakini me naenda chuo wanataka kucheza na akili za watu yani mtu unaweza kutamani ata kuhama nchi
 
Hakuna mtu atakayechukua nafasi yako ya chuo..
Hakuna mtu atakayekula pesa zako za direct cost..
Lakini kuna mtu atachukua ajira yako kwa kigezo cha cheti cha jkt...

jamani twendeni tu jkt

Kwa hiyo unamaanisha wale walioapply vyuo mwaka huu lakini walihitimu f6 zamani hata wakisoma hawatapata ajira kisa JKT? Na wale wa miaka ya nyuma yetu tangu JKT ifutwe hawatapata ajira tena? Je una ushahidi wa mtu aliyenyimwa ajira kwa sababu ya JKT? Kumbe ajira ni kwa graduates wa 2016-----> tu,duuuh!
 
Kwa hiyo unamaanisha wale walioapply vyuo mwaka huu lakini walihitimu f6 zamani hata wakisoma hawatapata ajira kisa JKT? Na wale wa miaka ya nyuma yetu tangu JKT ifutwe hawatapata ajira tena? Je una ushahidi wa mtu aliyenyimwa ajira kwa sababu ya JKT? Kumbe ajira ni kwa graduates wa 2016-----> tu,duuuh!

c ndo apo bwana mwambie bro apa ni elimu tyu
 
Back
Top Bottom