Baada ya sherehe iliyomhusu, mme wangu June 2012, alitoa ofa ya chakula cha jioni kwa familia na wageni wetu. Tulipofika pale hotelini tuliwakuta wadada wa2 wa kiafrika, (Ile ni hotel ya kichina). baada ya dk7 hivi wale watoto wakaondoka kwa miondoko iliyotufanya tucheke.
juzi nimesaidiwa na wajuzi wa mambo ili niweze kumwona aliyeongea na mme wangu saa 5 za usiku na kisha kuahidiana kukutana airport. Yule binti akamwelekeza mwenye kunisaidia (kijana kwa kutumia simu ya kimapenzi, yule kijana alijifanya amewahi kumwana na alimpenda) kuwa yeye alikuwa darasani ktk chuo kimoja hivi. tukaenda huko. Nilichoka sana baada ya kumkumbuka dada huyu kuwa ndiye aliyekuwa hotelini na mwenziwe. kwani hata hapo chuoni walitoka wote wawili.
Lililonisukuma kusema ni hili. inaniuma mme wangu kwa miaka 21 sasa (ondoa ya uchumba) amenigeuza DISPLAY
juzi nimesaidiwa na wajuzi wa mambo ili niweze kumwona aliyeongea na mme wangu saa 5 za usiku na kisha kuahidiana kukutana airport. Yule binti akamwelekeza mwenye kunisaidia (kijana kwa kutumia simu ya kimapenzi, yule kijana alijifanya amewahi kumwana na alimpenda) kuwa yeye alikuwa darasani ktk chuo kimoja hivi. tukaenda huko. Nilichoka sana baada ya kumkumbuka dada huyu kuwa ndiye aliyekuwa hotelini na mwenziwe. kwani hata hapo chuoni walitoka wote wawili.
Lililonisukuma kusema ni hili. inaniuma mme wangu kwa miaka 21 sasa (ondoa ya uchumba) amenigeuza DISPLAY