Mlipuko watokea Ubungo-TANESCO, umeme wakatika!

Kama anavyosema mkeshaji hapo juu, ni transfomer mbili za tanesco zimepiga mzinga sasa issue hapa sidhani kama wana spare so tutarajie kuishi gizani for some days,dah!
 
Mpaka magenerator ya Lowasa yapate deal ndiyo umeme utakapostabilise Bongo!! Otherwise kila siku itakuwa leo hivi kesho vile!!!
 
Poleni mnaong'ang'ania kuishi DSM, sisi wa mikoani hayo matatizo yenu hayatuhusu kabisa. Hapa nilipo nakula kipupwe kwa kwenda mbele huku kitu cha Castle Lager kikinitumbulia mimacho. Mia
 
kwetu huku umesharudi, je kwenu?
Bora lisitokee maana hali ni mbaya na itazidi kuwa mbaYa
 
lol........kuwa na grid moja nchi nzima ni balaa......sasa sehemu kubwa ya nchi haina umeme
 
Niko Geita hapa umeme umekatika na hii hotel niliyofikia wanatumia jenereta la mchina full kelele. Ila mgodini unawaka kama kawa, huenda hawa jamaa hawalipi kodi kwenye mafuta kwani haya mamitambo makubwa hivi yanaungurumishwa na majenereta kwa kwenda mbele.
 
poleni wategemea grid ya Tz, sie huku kwetu rahaaaaaaa! Na hadi jipya liletwe kutoka india mtakoma!
 
Tumshukuru Mungu kama hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha
 
lol........kuwa na grid moja nchi nzima ni balaa......sasa sehemu kubwa ya nchi haina umeme

hii ya kuwa na gridi moja ambayo inaconnect nchi nzima waatalam walisha itahazarisha govt kuwa kiusalama na kimaendeleo cyo nzuri.lakini wametia pamba masikio.
 
kuna tetesi kua songas ubungo panawaka moto na umeme umekatika dar nzima.waliopo eneo la tukio tunaomba mtujuze.
 
Back
Top Bottom