Wakati ninaingia Ubungo kutokea mkoani mida ya saa kumi na dakika harobaini kumetokea mlipuko kwenye kituo hicho cha Umeme.Wamekimbia mpaka wengine wakaacha mali zao.Nimejaribu kuongea na watu wanaofanya biashara hapo wamesema wamezoea.
Mbunge Mnyika watu wako siku moja wataungua na kubaki majivu.
kweli hapo watz utaona marufuku daladala kupack pembeni ya Songas,wakati inajulikana ni hatari no one seem to care na imetokea jioni hii sasa palivyojaa abiria wengi sijui inakuwaje hapo, mlio jirani na ubungo tupeni data kamili ya tukio. ninaona moshi unafuka kwa mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.