toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Ukistaajab ya Tanzania utaona ya Ubungo
Ubungo ndipo ilipo mitambo ya Songas lakini mitaa inayopakana na kituo cha kuzalisha umeme cha Songas ndo mitaa ambayo ina migao isiyokwisha ya umeme
Mitaa ya Ubungo maziwa, Rivaside, Kibangu,Makoka, hadi Kimara hayo maeneo kwa hapo umeme ni kipengele haswa full kukatika na migao isiyokwisha
Ubungo ndipo ilipo mitambo ya Songas lakini mitaa inayopakana na kituo cha kuzalisha umeme cha Songas ndo mitaa ambayo ina migao isiyokwisha ya umeme
Mitaa ya Ubungo maziwa, Rivaside, Kibangu,Makoka, hadi Kimara hayo maeneo kwa hapo umeme ni kipengele haswa full kukatika na migao isiyokwisha