Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,090
- 2,710
Wakuu nimepewa taarifa kuhusu mikopo kutoka kwene hzii taasisi Tulia foundation na Mo foundation. Nataka nijue kuna changamoto gani kwa mkopaji?
Je, siyo kausha damu?
Mkopo unalipika?
Kuna changamoto zozote ambazo zipo na hazisemwi?
NB: Nimeona matangazo yao online inaonesha wana vigezo nafuu
Je, siyo kausha damu?
Mkopo unalipika?
Kuna changamoto zozote ambazo zipo na hazisemwi?
NB: Nimeona matangazo yao online inaonesha wana vigezo nafuu