MwalimuZawadi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2007
- 643
- 68
GT lugha yako tu mimi hoi...haya mkulu. Hii picha imeniasha...nimeamini niko fit!
Kusema ukweli nilipapenda sana states lakini si sehemu ambayo mtu kama mimi naweza kusurvive katika mazingira kama haya
Hivi watu wa ATL mnasurvive vipi namna hii? maana wanawake ndio wenye pesa zaidi sasa kwa nini msi wa wife wanawake kama hawa kisha basi?
duh!
kama huyu mie namweka ndani hakuna kutoka na nakuwa mkali kuliko Osama na zaidi ya yote akitoka basi ni NINJA tuuu hapa haaminiwi mtu si Abtichaz wala huyo ES na jamaa zake
Picha ya mwisho kabisa inaonyesha msokoto wa bangi, hivi ni lazima upige huo msokoto ndiyo uweze kufanya mambo sawa sawa?
Kaaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!
Picha ya mwisho kabisa inaonyesha msokoto wa bangi, hivi ni lazima upige huo msokoto ndiyo uweze kufanya mambo sawa sawa?
Kaaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!
Picha ya mwisho kabisa inaonyesha msokoto wa bangi, hivi ni lazima upige huo msokoto ndiyo uweze kufanya mambo sawa sawa?
Kaaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli!!!!!!!!!!!!!!!!
Kusema ukweli nilipapenda sana states lakini si sehemu ambayo mtu kama mimi naweza kusurvive katika mazingira kama haya
Hivi watu wa ATL mnasurvive vipi namna hii? maana wanawake ndio wenye pesa zaidi sasa kwa nini msi wa wife wanawake kama hawa kisha basi?
duh!
kama huyu mie namweka ndani hakuna kutoka na nakuwa mkali kuliko Osama na zaidi ya yote akitoka basi ni NINJA tuuu hapa haaminiwi mtu si Abtichaz wala huyo ES na jamaa zake
Heheh ATL totoz nyingi tuu...kwanza ukienda uswahilini totoz za kumwaga nzuri kuliko ata Beyonce na Alicia Keys...ukiwa na 1972 Chevy Impala SS sitting on 22s unabeba kizigo bila gharama.
Duh...hivi watu bado wanaweka 22s kwenye magari yao? that is so 2000ish.....