Nilikuwa naangalia kipindi cha "This Week In Perspective" kinachorushwa na TBC1, na mada ilikuwa "FUNZO LILILOPATIKANA KATIKA UCHAGUZI MDOGO ARUMERU MASHARIKI". Hii ni baada ya kufanya tafsiri toka lugha ya kimombo.
Miongoni mwa maswali aliyoulizwa Mheshimiwa huyo na kujikuta akitokwa jasho ni pamoja na:
1. Siasa ya vyama vingi ilipoanza Tanzania, vyama vya siasa vilitakiwa kusajiliwa. Je, CCM nayo ilisajiliwa tena? Jibu likawa "No". "Why?" Jibu likawa "Because it was already there". Mjadala mrefu uliendelea baada ya hapo.
2. Wewe ndiye alinukuliwa na vyombo vya habari akimtaadharisha Lema asiende Arumeru Mashariki. Ni kweli? Jibu Likawa "Exactly!". Ulifanya hivyo kwa manufaa ya nani? Jibu, "That order was given by Wazees called "Washili" from that area, so I just wanted to make sure that all political parties are respecting culture of that place".
3. Mbona mimi nilikuwa huko muda wote wa kampeni na Lema alikuwepo na hao wazee hakumfanya chochote? Jibu, " I don't know what Happened"
Wageni wengine walikuwa kina Prof. Baregu, Dr. Waitama na mmoja kutoka UDSM. Hili linatufundishanini?
Miongoni mwa maswali aliyoulizwa Mheshimiwa huyo na kujikuta akitokwa jasho ni pamoja na:
1. Siasa ya vyama vingi ilipoanza Tanzania, vyama vya siasa vilitakiwa kusajiliwa. Je, CCM nayo ilisajiliwa tena? Jibu likawa "No". "Why?" Jibu likawa "Because it was already there". Mjadala mrefu uliendelea baada ya hapo.
2. Wewe ndiye alinukuliwa na vyombo vya habari akimtaadharisha Lema asiende Arumeru Mashariki. Ni kweli? Jibu Likawa "Exactly!". Ulifanya hivyo kwa manufaa ya nani? Jibu, "That order was given by Wazees called "Washili" from that area, so I just wanted to make sure that all political parties are respecting culture of that place".
3. Mbona mimi nilikuwa huko muda wote wa kampeni na Lema alikuwepo na hao wazee hakumfanya chochote? Jibu, " I don't know what Happened"
Wageni wengine walikuwa kina Prof. Baregu, Dr. Waitama na mmoja kutoka UDSM. Hili linatufundishanini?