Mlinzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Halafu mimi nashindwa kuelewa, mbona karibia nchi zote za Afrika Rais anapokuwa anahutubia yule sijui ndo mpambe sijui Bodyguard lazima awe nyma yake, lakini nchi kama Marekani na ulaya kwa ujumla sijaonaga hiyo makitu, na ninaamini huu mfumo wa wanausalama tunachukua ujuzi toka huko kwa wenzetu.
Au kwa vile Marais wengi wetu wa bara la Afrika ni wagonjwa hivyo lazima awepo mtu nyuma, kama iktokea kazidiwa ili amdake, rejea tukio la kufunga kampeni jangwani na hili la juzi la yule wa Zimbabwe.
Naomba kufahamishwa wajumbe.

Mifumo iko mingi kutegemea wapi anaenda na nini anafanya na taarifa za awali zinataka nini. . . .Yawezekana hayo unayoona ndio yanafaa zaid kwa wakati na sehemu husika. Ila sio sehemu zoote hukaa nyuma!!
 
Acha uongo wewe, silaha nzito wapi, mbona zibaonekana, kaunda suti haiwezi kuzuia silaha isionekane, badili maneno hapo. Lini na wapi rais wa tanzania ameshambuliwa tukajua wapo well trained, diamond jubilee mwinyi alivyopigwa kofi? Au wapi.


Rais analindwa na "kikosi" sio hao tu unaowaona wako busy. . . . .wako well trained kabisa na seriously in activated mode kama una jinsi ya kujaribu kuwa mgeni wao
 
aiseee babayangu nadhan picha zinahusika hapa m2 atupie picha tofautitofauti za rais 2weze kujua kama ni mmoja au wapo weng
mkuu rombo nawasilisha
 
Acha uongo wewe, silaha nzito wapi, mbona zibaonekana, kaunda suti haiwezi kuzuia silaha isionekane, badili maneno hapo. Lini na wapi rais wa tanzania ameshambuliwa tukajua wapo well trained, diamond jubilee mwinyi alivyopigwa kofi? Au wapi.

jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.....kutokushambuliwa kwa mh. raisi ni ishara kwamba ulinzi wake uko imara....wewe unaowaona wamevaa suti unafikiri ndio wenyewe tu hao ni chambo tu...kwa taarifa yako wanatembeaga mpaka hata na mbwa na mengine siwezi andika hapa.....ila kama unataka kujua ulinzi wa raisi ni madhubuti kiasi gani subiri siku anapita jaribu sogeza gari tu karibu na gari lake uone.....Mwinyi ni msaafu,,,hata warioba alifanyiwa fujo ,,,,hao wote ni viongozi wastaafu na hawalindwi kama viongozi waliomadarakani.......kabla hujaropoka tulia na ujifunze
 
Nimewahi kusikia kuwa nchi kama marekani wanauwezo wa kumhakikishia rais wao usalama zaidi ndani ya mita mia kwa technolojia ndo maana huwa haambatani na ulinzi wa kufuatwa na mtu nyuma kama sisi
Dah we jamaa umenipa jibu ambalo nimelikubali sana. naamini teknologia inawasaidia sana. WELL SAID Mtanganyika mwenzangu
 
jambo usilolijua ni kama usiku wa giza.....kutokushambuliwa kwa mh. raisi ni ishara kwamba ulinzi wake uko imara....wewe unaowaona wamevaa suti unafikiri ndio wenyewe tu hao ni chambo tu...kwa taarifa yako wanatembeaga mpaka hata na mbwa na mengine siwezi andika hapa.....ila kama unataka kujua ulinzi wa raisi ni madhubuti kiasi gani subiri siku anapita jaribu sogeza gari tu karibu na gari lake uone.....Mwinyi ni msaafu,,,hata warioba alifanyiwa fujo ,,,,hao wote ni viongozi wastaafu na hawalindwi kama viongozi waliomadarakani.......kabla hujaropoka tulia na ujifunze

Zaidi ya kusukumana na waandishi walinzi wa rais hawana chochote. Mbulula tu kama red brigade wa Chadema. Kinachosaidia ni kwamba hakuna mwenye interest na hivi vi rais rahisi vyetu. Hata hivyo walinz hawa ni wazuri katika kuwapiga waganga wa kienyeji kama yule aliyemvamia Kikwete mwanza
 
Duh! hii nayo elimu nzuri. Watakuja wajuzi wa mambo haya aatujuze. Tena ngoja nii'subscribe topic hii.

Nijuavyo mimi(na naamini ni sahihi,watakuja kunikosoa wajuzi zaid), nikwamba, MLINZI huyo huchaguliwa na Rais kwani anapaswa kuwa anayejuana naye au mtu wa karibu sana mfano shemeji, mdogowake, ukoo wake na mengine kama hayo.

Nimeyasema hayo nikirejea hisia zangu kwamba, ni lazima nimchukue mtu ambaye ana'fall ktk categories hizo for my benefits.

Kwa upande mwingine, unaweza ukakuta mtu huyu anachaguliwa na system kwa maana ya Jopo au Kikosi cha ulinzi wa Rais.

Ni hayo tu.

Wishful thinking.
 
Safi sana...huwa napenda wanavofanya kazi zao kumlinda raisi mfano walinzi wa OBAMA makini sana....ila nafikiri msaidizi wa raisi yaani boardguard yaani anayevaa uniform na mara nyingi anakaa nyuma ya raisi huwa ni mmoja mda wote mpaka atakapostaafu au kupandishwa cheo mfano mzuri ni kikwete alipoanza uraisi alikua na mwingine na sasa ni mwingine...

Hivi mkuu ulishawahi kumuona huyo boardguard wa rais japo sura vizuri,au akizungumzia chochote mbele ya kadamnasi au hata kuona maisha yake binafsi akizungumza na mtu yeyote? KWANINI?
 
Zaidi ya kusukumana na waandishi walinzi wa rais hawana chochote. Mbulula tu kama red brigade wa Chadema. Kinachosaidia ni kwamba hakuna mwenye interest na hivi vi rais rahisi vyetu. Hata hivyo walinz hawa ni wazuri katika kuwapiga waganga wa kienyeji kama yule aliyemvamia Kikwete mwanza

ulichoongea kinaonyesha wewe ni mtu wa aina gani. mbona heshima kitu cha bure tu wala huhitaji kujitutumua
 
Kuna yule alikuwa mlinzi wa Baba wa taifa enzi hizo, anaita Mwakalindile, mnamkumbuka?
 
Nimewahi kusikia kuwa nchi kama marekani wanauwezo wa kumhakikishia rais wao usalama zaidi ndani ya mita mia kwa technolojia ndo maana huwa haambatani na ulinzi wa kufuatwa na mtu nyuma kama sisi

Marekani ya wapi hiyo unaongelea???
 
Zaidi ya kusukumana na waandishi walinzi wa rais hawana chochote. Mbulula tu kama red brigade wa Chadema. Kinachosaidia ni kwamba hakuna mwenye interest na hivi vi rais rahisi vyetu. Hata hivyo walinz hawa ni wazuri katika kuwapiga waganga wa kienyeji kama yule aliyemvamia Kikwete mwanza

Uhuru wa mawazo. . .,
 
Tanzania amani ipo kama kichaa akiamua kumuondoa raisi kwa risasi anaweza sana,let say kama nina bastola nishaweka risasi chemba na mie nina mafunzo mazuri ya shabaa,nimeshashuhudia ziara nyingi sana za raisi na huwa anajichanganya na watu hapo hapo ukitumia mwanya huo kuchomoa berretta kwenye kiuno na ku pull a trigger yanakuwa mengine ila jiandae kwamba na wewe lazima ufe.
 
Back
Top Bottom