Mlinzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mimi wanaojiita wazee wa jf! na wanadai wakati huo walijadili mambo ya maana naomba wanijibu maswali yangu.

1, kwanza waniletee hizo link za maana ambazo zilipositiwa mwaka 2006 hadi 2011.

2, majadiliano yao mazuri yalisaidia nini? bona wao wezi wamaescrow walichanguliwa 2005 na 2010.

3, katika uchumi mbona nchi yetu ni masikini tu, pamoja na majadiliano yao mazuri?.

Wazee wa JF mimi huwa wananikera sana.
 
Safi sana...huwa napenda wanavofanya kazi zao kumlinda raisi mfano walinzi wa OBAMA makini sana....ila nafikiri msaidizi wa raisi yaani boardguard yaani anayevaa uniform na mara nyingi anakaa nyuma ya raisi huwa ni mmoja mda wote mpaka atakapostaafu au kupandishwa cheo mfano mzuri ni kikwete alipoanza uraisi alikua na mwingine na sasa ni mwingine...


Huyo sio body guard. . .,Ni Aide de camp
 
Haiwezekani akawa mmoja. Inamaana yeye haumwi? Hana dharura? Au akiwa na dharura ndio raisi siku hiyo atakuwa hana mpambe? Raisi ndio mmoja , ila wengine wote wanabadilika.. Nitajitahidi kukuletea picha

mkuu kwa hili sihitaji picha....ukweli ni kwamba habadiliki....ikitokea dharura hilo ni suala lingine na najua kutakuwa na mpambe maalum aliyeandaliwa km msaidizi...!
 
Mimi wanaojiita wazee wa jf! na wanadai wakati huo walijadili mambo ya maana naomba wanijibu maswali yangu.

1, kwanza waniletee hizo link za maana ambazo zilipositiwa mwaka 2006 hadi 2011.

2, majadiliano yao mazuri yalisaidia nini? bona wao wezi wamaescrow walichanguliwa 2005 na 2010.

3, katika uchumi mbona nchi yetu ni masikini tu, pamoja na majadiliano yao mazuri?.


Huu upuuzi wako uanzishe uzi wake.....

Kwasasa tunajadiliana kuhusu Walinzi wa Raisi tu..
 
hawa walinzi wanateuliwa na raisi kwani wanatakiwa kuficha siri zote za raisi hata wakienda disko usiku na raisi hawaruhusiwa kutoa hiyo siri kama Jk anabadilisha sana hawa walinzi wake sijui hajiamini .
 
hawa walinzi wanateuliwa na raisi kwani wanatakiwa kuficha siri zote za raisi hata wakienda disko usiku na raisi hawaruhusiwa kutoa hiyo siri kama Jk anabadilisha sana hawa walinzi wake sijui hajiamini .
Hebu tafuta habari za PSU mkuu. . . .
 
mkuu kwa hili sihitaji picha....ukweli ni kwamba habadiliki....ikitokea dharura hilo ni suala lingine na najua kutakuwa na mpambe maalum aliyeandaliwa km msaidizi...!
Ndio kubadilika kwenyewe huko, kazi zina safari na perdiem za kumwaga kwa nature ya wabongo mtu hata kama hajisikii anakomaa tu maana anaweza akamwachia mtu gap ndio ikawa byebye na ndio maana tunaona kila siku yule yule (nimewazza ki-layman kidogo hapa kutokana na nature ya kazi ambazo zina marupurupu na safari watu huwa hawagui na wala hawachukui likizo mpaka ahakikishe huo mwezi hauna mtoko)
 
Huu upuuzi wako uanzishe uzi wake.....

Kwasasa tunajadiliana kuhusu Walinzi wa Raisi tu..

Mkuu hapa kulikuwa na ugomvi mkubwa sana! mod wamesharekebisha na kuondoa comment zote! naona ndiyo umeuona huu uzi sa hvi!
 
Mlinzi wa Rais wa Tanzania huwa anachaguliwa na rais mwenyewe au kuna utaratibu mwingine unatumika kumpata?

Je, Mlinzi huyu anakuwa na likizo? Kama hana likizo, Je, Anapataje muda wa kujamiiana (Socialize) na jamii inayomzunguka pamoja na masuala ya kifamilia?

Hili swali waulize wale Wachungaji ambao hawaruhusiwi hata KUOA.
Wanapata wapi muda wa Kujamiiana (socialise) ?

Kwani huyo Rais Haendi kulala na mlinzi kupata nafasi ya kuchomoka kidogo akaenda kutoa pepo kama kina baba wachungaji?
 
Halafu mimi nashindwa kuelewa, mbona karibia nchi zote za Afrika Rais anapokuwa anahutubia yule sijui ndo mpambe sijui Bodyguard lazima awe nyma yake, lakini nchi kama Marekani na ulaya kwa ujumla sijaonaga hiyo makitu, na ninaamini huu mfumo wa wanausalama tunachukua ujuzi toka huko kwa wenzetu.
Au kwa vile Marais wengi wetu wa bara la Afrika ni wagonjwa hivyo lazima awepo mtu nyuma, kama iktokea kazidiwa ili amdake, rejea tukio la kufunga kampeni jangwani na hili la juzi la yule wa Zimbabwe.
Naomba kufahamishwa wajumbe.
 
Halafu mimi nashindwa kuelewa, mbona karibia nchi zote za Afrika Rais anapokuwa anahutubia yule sijui ndo mpambe sijui Bodyguard lazima awe nyma yake, lakini nchi kama Marekani na ulaya kwa ujumla sijaonaga hiyo makitu, na ninaamini huu mfumo wa wanausalama tunachukua ujuzi toka huko kwa wenzetu.
Au kwa vile Marais wengi wetu wa bara la Afrika ni wagonjwa hivyo lazima awepo mtu nyuma, kama iktokea kazidiwa ili amdake, rejea tukio la kufunga kampeni jangwani na hili la juzi la yule wa Zimbabwe.
Naomba kufahamishwa wajumbe.

Nimewahi kusikia kuwa nchi kama marekani wanauwezo wa kumhakikishia rais wao usalama zaidi ndani ya mita mia kwa technolojia ndo maana huwa haambatani na ulinzi wa kufuatwa na mtu nyuma kama sisi
 
Nimewahi kusikia kuwa nchi kama marekani wanauwezo wa kumhakikishia rais wao usalama zaidi ndani ya mita mia kwa technolojia ndo maana huwa haambatani na ulinzi wa kufuatwa na mtu nyuma kama sisi

Yawezekana ni kweli. Sisi bado tupo manual
 
Mkuu upo utaratibu wa kumpata msaidizi wa rais, lakini mara nyingi kwenye huo mchakato rais mwenyewe anahusishwa,mfano mpambe anaweza akaanza na rais mpaka anamaliza nae mihula yote miwili mfano mkapa,,,,,aliyeanza na kikwete alimpandisha cheo na kuwa gen,,,ikabidi abadiliswe, na huyo nikama msaidizi wanaomlinda rais ni wanausalama waliobobea na wako well trained na wanabeba silaha tena nzito sio raisi raia kuona hizo silaha,,,,,kutegemea na eneo rais alipo,,,na taarifa za inteligensia za wakati huo wanaweza wakawa wengi na hawavaagi uniform sana sana suti nyeusi au rangi nyingine,,,na wanasaidiwa na polisi ffu amao na wenyewe wana mafunzo maalum

mpambe wa rais sio lazima awe ni ndugu yake,,na anakuwaga na mapumziko kama ratiba ya boss wake ilivyo
Acha uongo wewe, silaha nzito wapi, mbona zibaonekana, kaunda suti haiwezi kuzuia silaha isionekane, badili maneno hapo. Lini na wapi rais wa tanzania ameshambuliwa tukajua wapo well trained, diamond jubilee mwinyi alivyopigwa kofi? Au wapi.
 
Back
Top Bottom