srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,031
- 3,594
Mimi wanaojiita wazee wa jf! na wanadai wakati huo walijadili mambo ya maana naomba wanijibu maswali yangu.
1, kwanza waniletee hizo link za maana ambazo zilipositiwa mwaka 2006 hadi 2011.
2, majadiliano yao mazuri yalisaidia nini? bona wao wezi wamaescrow walichanguliwa 2005 na 2010.
3, katika uchumi mbona nchi yetu ni masikini tu, pamoja na majadiliano yao mazuri?.
Wazee wa JF mimi huwa wananikera sana.