Mkwe kama huyu hatari....

pmwak

Member
Mar 13, 2013
26
3
MKWE:yaani unakuja kuposa binti yangu uku unatafuna big G?
JAMAA:mdomo unanuka nilivuta sigara.
MKWE:na sigara unavuta? JAMAA:nilivuta jana nilipokunywa pombe wkt niko club.
MKWE:eeeh!! Hadi pombe unakunywa?
JAMAA:nilijifunza wkt niko jela.
MKWE:mtumee...na kufungwa ulishafungwa...!!!
JAMAA:yeah niliua.
MKWE:astafighuillah!kumbe muuaji?
JAMAA:kuna mzee alinikatalia posa kwa bnt yake nikamuulia mbali...
MKWE:eeeh...haina shida kijana harusi tufanye lini? @

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hahaha.....mkwe bila shurti kakubali binti achukuliwe kukwepa kifo
 
Hahhahah mwakatuma umeniacha hoi nimechekaje hapa huyo mkwe ana maswali mengi kwani ye ni polisi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu nimeahirisha kulala kwa muda wa 30 dakika nipishe kicheko kimalize.
Kwi, kwi, kwi, kwi, kwi, kwi.......
 
Aaah chezea kifo wee binti ataozwa hata bila mahari!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
P Mwak
Wewe noma nimecheka mpaka majirani wamekuja kuuliza kuna nini? da JF raha sana.
 
MKWE:yaani unakuja kuposa binti yangu uku unatafuna big G?
JAMAA:mdomo unanuka nilivuta sigara.
MKWE:na sigara unavuta? JAMAA:nilivuta jana nilipokunywa pombe wkt niko club.
MKWE:eeeh!! Hadi pombe unakunywa?
JAMAA:nilijifunza wkt niko jela.
MKWE:mtumee...na kufungwa ulishafungwa...!!!
JAMAA:yeah niliua.
MKWE:astafighuillah!kumbe muuaji?
JAMAA:kuna mzee alinikatalia posa kwa bnt yake nikamuulia mbali...
MKWE:eeeh...haina shida kijana harusi tufanye lini? @

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

kwi kwi kwi!aisee hii ni ya mwaka.mkuu!teh teh teh
 
Hacha kabisaaa! Mkwe huyu hatari!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom