NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
Kwa kweli watu wa Mzumbe wamenitamanisha sana....
hebu na sie wa Mkwawa tukumbukie enzi......ukisikia hiki kipande cha Singo hili unakumbuka nini
Hahaaaa, kwa wale wa enzi za Mzee Mbao Sebastian K.K. akiwa Master, namuona povu linamtoka mdomoni kwa lijamaa limevunja meza DH au Mzee Tende kashtaki katorokwa kwenye Cube namba 9 ya Shebby Rob West.........hahaaaaa
hebu na sie wa Mkwawa tukumbukie enzi......ukisikia hiki kipande cha Singo hili unakumbuka nini
Mkwawa Shule twaipenda, Mkwawa Shule twaipenda
Moto wetu nidhamu, taaluma kujitegemea
Kwa ujenzi wa Jamii na taifa letuuuuuuu
Hahaaaa, kwa wale wa enzi za Mzee Mbao Sebastian K.K. akiwa Master, namuona povu linamtoka mdomoni kwa lijamaa limevunja meza DH au Mzee Tende kashtaki katorokwa kwenye Cube namba 9 ya Shebby Rob West.........hahaaaaa