Mkuu wa Wilaya ya Korogwe mhe.Jokate Mwegelo mapema Leo hii April 17,2023 amekutana na Mbunge wa Korogwe mjini Dr. Alfred Kimea na Korogwe vijijini Timotheo Mzava ofisini kwake.
Katika Mazungumzo ambayo yamefanyika kwa muda wa saa Moja wabunge pamoja na mkuu wa Wilaya wamejadili mikakati ya Wilaya ya Korogwe pamoja na Changamoto zinazowakabiri wananchi wa Korogwe na namna ya kutatua Changamoto hizo Ili wananchi waweze kufaidi matunda ya Serikali Yao.
Pia wamezungumza kwa habari ya kudumisha/kuendeleza ushirikiano kati ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya na ofisi za wabunge wa majimbo yote mawili.
Katika Mazungumzo ambayo yamefanyika kwa muda wa saa Moja wabunge pamoja na mkuu wa Wilaya wamejadili mikakati ya Wilaya ya Korogwe pamoja na Changamoto zinazowakabiri wananchi wa Korogwe na namna ya kutatua Changamoto hizo Ili wananchi waweze kufaidi matunda ya Serikali Yao.
Pia wamezungumza kwa habari ya kudumisha/kuendeleza ushirikiano kati ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya na ofisi za wabunge wa majimbo yote mawili.