Inapendeza kuona mkuu wa wilaya ''has guts'' kupita huku bila kujificha na kufafanua mambo.
Nashukuru ndugu yangu nipo humu JF tangu inaanzishwa mwaka kwa jina lingine hivyo nafahamu vizuri.heshima mbele mh nova
hongera sana kwa kujitokeza hapa JF na kujibu hoja, hata kama mleta hoja ametumia lugha ambayo pengine haijaeleweka kwa wengi na/au hata lugha isiyo ya kistaarabu, busara na hekima pamoja ukomavu wa uongozi huja na kuonekana unapojibu hoja husika kwa uwazi na utulivu. Usikubali uongozwe na hisia na hasira kwenye kujibu hoja zako na zaidi kwenye utendaji wako wa kazi. JF ni pa moto lakini taratibu utajenjwa hapa, utakomazwa, utafundishwa na mwisho wa siku utakuwa imara, hodari na mwenyewe elimu.
Hivi wewe unapopata kazi kupitia interview ya uwazi unakuwa hujui vigezo vilivyokufanya upate hiyo kazi? Au ni interviewers pekee ndio wanaokuwa wanajua? Au na wewe ni wale wale?! Rubbish!Mkuu Diga Diga wewe ni yule mcheza disco wa enzi zileee au!? Hivi mtu akiteuliwa ndiye anakuwa ametoa vigezo vya yeye kuteuliwa au mteuzi ndio anakuwa vigezo? Hilo tu mkuu.
Baada ya jaribio la kufa na kupona la mwenyekiti wa CCM kutaka mto amwenyekiti wa Kijiji Kwasadala hatimaye Novatus Makunga kalifanya.Mwenyekiti wa CCM ambaye anasemakana kuwa obsessed sana na hali ya raia kuipiga chini CCM alimfukuza kazi mwenyekiti wa kijiji ila mwenyekiti .Watu wakamuuliza mamlaka kapata wapi?Mwenyekiti aliyechoka akajaribu tumia msaada wa polisi ila nao wakionekana kuichoka CCM wakampa swali kama hilo.Leo Taarifa ya habari ya ITV inamwonyesha akiwamfukuza mwenyekiti huyo huku akiwa na watu walioandaliwa kuonyesha kuwa wamepangwa waongee nini.Kama inavyofahamika huyu mkuu wa wilaya kilaza aliwahi fanya kazi ITV na atakuwa mwepesi sana kuwaita kwa mambo yamhusuyo na kujijenga kisiasa.
Cha kujiuliza ni kwamba kama mwenyekiti kashindwa kazi kwanini asitolewe kwa kura za wanakijiji kama walivyomchagua?kwani yeye si wa kuteuliwa na serikali.
Taarifa iliyopo ni kwamba hata polisi wamemchoka huyu m/kiti wa CCM wilaya ya Hai.Amekuwa akiwahemea wamsaidie kuzui nguvu ya CDM bila jijua kuwa yupo katik nyumba ya CDM.Novatus nae akiwa kama watupu wengine wa CCM anatafuta sana nji ya kujijenga kwa nguvu nyingi,mojawapondio hii ya kufanya kazi ya CCM.
Hivi wewe unapopata kazi kupitia interview ya uwazi unakuwa hujui vigezo vilivyokufanya upate hiyo kazi? Au ni interviewers pekee ndio wanaokuwa wanajua? Au na wewe ni wale wale?! Rubbish!
Mkuu wangu wa wilaya hongera sana kaka,pale kijiji cha shari panakaribia jangwa watu wanakata miti ovyo embu fuatilia ,pia jf ndio darasa usiogope kutujibu wala usiwe na hasira viongozi wengi wa ccm hawapendi kukosolewa!
-Kwani wewe ni mahakama sasa?kama kala pembejeo si angafunguliwa kesi?Mbona hueleweki, ww ni Dhaifu, jipange upya unapoandika hbr. kalale ukiamka andika tena.
kama ni rais wa wilaya kwanini alingeitwa kumchagua?ugumu wangu kuandika haimanish nova alitumia akili kujibana katika sheria.utashi wa ccm ulimzidi kwani hii ndio kazi waliyoamriwa kama wale wa mwangoka walivyofanya.Hapa nadhani kikubwa ni kumpa ndugu yeu makunga nafasi afanye kazi,sidhani kama amekurupuka,namfahamu sana huyu bwana yuko makini,kingine jamani mnatakiwa kuelewa kwamba DC ni rais wa wilaya
ndugu zangu nashukuru wote wakiwemo waliochangia kwa hoja na pia waliokejeli,natoka sitarudi katika uzi huu tena,nilichojifunza wengi wetu humo wanatufahamu kwa muda mfupi tu,mtu anakujaji kwa kuwa alikusikia katika kampeni za uchaguzi mdogo wa arumeru mashariki basi lakini hajui kuwa ulikuwa mwajiriwa uliyetumwa kufanya kazi katika eneo fulani mjadala ni mpana hasa kwa sekta ya habari nitauleta baadaye,kwa bahati mbaya mtoa uzi huu hakurudi tena naamini hakuwepo katika mkutano ule wa kwasadala na wala siyo mkazi wa kwasadala kwani baadaye alisema yeye anatoka rongoi,leo nimeshinda pale kijijini.kila la heri wana jf
sijui unatafuta nini huko mbali hivyo.kwani yeye kuonyesha mfano sifa yake si kama salamu za utambulisho tuu, halafu unakwenda kwenye hoja.Wewe umeshatambua kuwa kajitahidi kufungua mlango,ila haimzuii yeye kujiuliza mswali ya msingi.hawezi fanya maamuzi ya kienyeji hivyo?yule jamaa na wengine hawajateuliwa tuu kama yeye.yeye ange assist tuu.pamoja sana NOVA.It show that una ujasiri licha ya kuwa 2na ideology tofauti.NIMECHELEWA MJADALA ulioufunga ila umeonesha njia kwa Ma_DC wengine..Nimependa ulivyopambana ila tambua wengi humu hawana tatizo nawe ila UWEPO WA VYEO VYA U_DC so mnakuwa majeruhi kutokana na position yenyewe.TUTAONANA Mitaa ya hom kwako pale MANDELA ROAD