BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,410
- 8,191
Umauzi huo umefanywa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhandisi #HamadMasauni dhidi ya Mkuu wa Polisi Wilaya (OCD), SSP Shedrack Kigomanya na Ofisa Upelelezi Wilaya ya Kilombero, SP Daud Mshana.
Sababu zilizotajwa ni malalamiko ya Wananchi kuwa wamekuwa wakinyanyaswa na Viongozi hao ambapo Waziri Masauni amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) #CamillusWambura kuwachunguza na wa kuwahamisha maeneo yao ya kazi.
Kati malalamiko yaliyotajwa na Wananchi ni pamoja na baadhi ya Askari kuwakamata bila utaratibu, kunyimwa dhamana, kutozwa faini na madai ya kutumiwa na Wafanyabiashara wenye Fedha pamoja na kuwambikia Kesi za jinai.
Sababu zilizotajwa ni malalamiko ya Wananchi kuwa wamekuwa wakinyanyaswa na Viongozi hao ambapo Waziri Masauni amemwagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) #CamillusWambura kuwachunguza na wa kuwahamisha maeneo yao ya kazi.
Kati malalamiko yaliyotajwa na Wananchi ni pamoja na baadhi ya Askari kuwakamata bila utaratibu, kunyimwa dhamana, kutozwa faini na madai ya kutumiwa na Wafanyabiashara wenye Fedha pamoja na kuwambikia Kesi za jinai.