Madalali wote
Madereva tax wote kwanini iwe bajaji tu
List mpya itakuja
Leseni ya kuvaa kofia
Leseni ya kuvaa wig na weaving
Leseni ya kupaka make-up
Leseni ya wanaume kufuga nywele na kuvaa heleni
Leseni ya wanawake kuvaa suruali kama sio police
Kama nchi tumefika kwenye climax, sasa tunaanza kufall mudogo mudogoooooooo!!!!!🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Wapi huko mkuuSahihi kabisa! Huku tulishawapa wote hao sijui yeye aliwasahau vipi