KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,724
- 12,084
Nyie ambao mna vyeti, mmeshawahi shikiwa mwamvuli ivo! Muulizeni huyo anaejiita mage mnaomwabudu ka alishawahi shikiwa mwamvuli ivo.
Kama Nakuona vile!!Makonda Oyeeeeeeeeee
Hapa kazi tu
Jembe la Taifa
Ikiwa chadema hawana uthibitisho na serikali ya CCM nayo haina ina Maana Lowassa alikuwa msafi.na kawaida ya CCM haiwataki watu wasafi Na wasio Na vyeti feki . Ndio Maana CCM ikawapa ushahidi wa uongo Chadema Ili waongee bungeni Na ktk mikutano Ili wapate Sababu ya kumuondoa Lowassa ktk chama cha mafisadi (CCM) aka mpya chama cha mavyeti feki.
Kama unakumbuka Dk slaa alikuwa anasema Hizi habari Za ufisadi anapewa Na USALAMA WA TAIFA .hii inaonyesha CCM iliwaambia usalama wa mtumie Dk slaa kumchafua Lowassa.
Mola amlinde yeye si alisema ni Mungu??Good job RC wetu....Mola akulinde milele!
Akachome mkaaNa kwa jinsi alivyochafua watu kwa udomokaya sidhani kama kuna mahali anaweza kuajiriwa
Wewe na familia yakoTuna imani na makonda.
Kimsingi vyeti ni karatasi tu,
Muhimu ni kumudu majukumu.(full stop)
Kelele za mpangaji,hazimnyimi mwenye nyumba usingizi.
Magufuli na wakuu wa mikoa makanjanja utacheka eti anazinduwa barabara ya watu binafsi yaani makonda anaendeleza uhuni wa vyeti kama kuzindua barabara moja mara Mia tena sio ya serikali bali wa kwema kulipa kodiKelele za mpangaji,hazimnyimi mwenye nyumba usingizi.
Leo mwenzenu amefungua barabara nyie mnapiga domoBashite weka vyeti tuyamalize
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amezindua barabara ya Shimo la Udongo, Kilwa EPZ iliyopo kurasini ya Kilomita moja; Iliyojengwa kwa kiwango cha zege na kampuni ya wazalendo ya Grant Tech iliyogharimu takribani milioni 350.
Hongera Kiongozi
Alete vyeti mtu mwenye zero anakagua nn?Msiyempenda karudi
Umesahau nchi sio company. Serikali ya Tanzania ni serikali iliyochaguliwa kwa njia ya democracy. Na nini Maana ya ya democracy? Kwahiyo tunahaki ya kujua kila kitu kuhusu kiongozi yoyote wa umma.Kutwo kuwa na uthibitisho haina maana mtuhumiwa ni safi. Vyeti feki ni hoja dhaifu mnoo, awaonyeshe cheti, mmemwajiri?
Siyo roho ngumu! ana shingo ngumu ambayo huwa na tabia ya kuvunjika ghafla! Kuna mtu anamkingia kifua Daudi Bashite na ziro yake na uhalifu wake wa kitaaluma kwa gharama ya heshima yake mwenyewe! Anaangalia leo tu bila kujua kuwa kuna kesho inakuja!!Kwa kweli ni roho ngumu
Siyo roho ngumu! ana shingo ngumu ambayo huwa na tabia ya kuvunjika ghafla! Kuna mtu anamkingia kifua Daudi Bashite na ziro yake na uhalifu wake wa kitaaluma kwa gharama ya heshima yake mwenyewe! Anaangalia leo tu bila kujua kuwa kuna kesho inakuja!!Kwa kweli ni roho ngumu