Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Tena tungeweza kurudisha wale "The Big Four" kwa uzalishaji chakula Tanzania- Iringa, Mbeya, Rukwa na Ruvuma.
Nchi hii tuna kila kitu isipokuwa watu tu wa kuishi hapana kutumia rasilimali tulizobarikiwa nazo ndiyo hatuna!