Mkutano wa marais wa nchi za maziwa makuu: Joyce Banda hakualikwa?

Marais-wa-Nchi-za-Maziwa-Makuu.jpg

Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
Mazungumzo ni kama hivi:
JK: Wakuu nimekuja, haka kamama kana mkono wa US na UK, sijui nitachomokaje.
M7: Ebu kagame ongea kwanza.
Kabila: Namimi nilitaka kusema hivyo hivyo, ongea kwanza Kagame then nitaongea harafu tutakusikiliza.
Kagame: Nilijua tu kale kamama kanonko, haswa kaliporuhusu ushoga. Lakini JK kwani shida iko wapi bana?
JK: Nimesema kama mkono wa US na UK, sasa nimekuja mnipe mawazo na mbinu kule kuna wese na gesi ya kutosha.
JK: Hapa tukiweza kuliweka sawa hilo, M7 atakula site, Kagame utakula site na bana mdogo hapo atakula chake. Mnasemaje?
M7: Bonge la dili.
Kagame: Now you are talking JK!, siyo mara US mara UK, hao wote wanataka wese na gesi.
 
Kundi la wanajeshi wasioaminiana si patatokea vita hapo?

Huyo mama kibaraka ataponzwa na siasa za kuiga.

Hapo juu Museveni na Kagame ndiyo wanamapinduzi pekee.Kabila utadhani hajawahi kuwa soldier
 
Hawapatani, ila hana ujanja inabidi akubali tu! akikumbuka kauli ya Kagame kuwa nikipewa kuiongoza Tanzania, kwa hifadhi peke yake bila madini ataifanya Tanzania kuwa ulaya hana hamu!
Hivi kumbe ni kweli Kagame aliyasema hayo maneno?
 
Hawapatani, ila hana ujanja inabidi akubali tu! akikumbuka kauli ya Kagame kuwa nikipewa kuiongoza Tanzania, kwa hifadhi peke yake bila madini ataifanya Tanzania kuwa ulaya hana hamu!
I salute Kagame
 
Kagame is my role model
Ok mkuu,sina tatizo lolote na hilo.However sidhani ulielewa swali langu.Ina maana Kagame is your role model ndo maana alisema hayo maneno ama ndo uthibitisho wa hayo maneno?
 
Huyu Museveni, sijui ni ushamba au ugonjwa?
Hilo kofia la nini na yuko indoors!

Halafu sijawahi kuona mtu amevaa suti na kofia aina hii. Sawa na ndugu yangu wa TLP aliyekuwa anavaa suti na baraghashia...ha ha ha haaaa!!!
 
Ok mkuu,sina tatizo lolote na hilo.However sidhani ulielewa swali langu.Ina maana Kagame is your role model ndo maana alisema hayo maneno ama ndo uthibitisho wa hayo maneno?

Hahahaaaaaa!
Mkuu wangu jmushi1 uko nchi gani mazee? Ni kweli kwamba Kagame aliyatamka mkuu!
Kuna kipindi kinaitwa strait talk africa sijui kinarushwa na voa or something, hapo ndo mkubwa karopoka!
 
Last edited by a moderator:
Ok mkuu,sina tatizo lolote na hilo.However sidhani ulielewa swali langu.Ina maana Kagame is your role model ndo maana alisema hayo maneno ama ndo uthibitisho wa hayo maneno?
Si hayo tu. Hata katika kampeni za 2010 Kagame alisema Kikwete anakampeni kama waziri wa miundombinu (ahadi alizokuwa anatoa)
 
Wote hao wanaiona Tanzania kama marekani, yaani tanzania ndio imewaweka hao jamaa madarakani ,umeona eei!
 
Mungi, may be Kageme is right kwamba the national parks tu zinaweza zikaiweka Tanzania katika hali nzuri mno kiuchumi tena wenye tija kwa jamii nzima. Mimi nashangaa kwa nini serikali ya CCM inakubali kughilibiwa na wachimba dhahabu na tanzanite vitu ambavyo vitaisha na kutuachia mashimo matupu na umakini wa kutupa? Kwa sasa tungejikita katika kuendeleza uchumi endelevu kwa kuimarisha kilimo, bandari, utalii hizi ni rasilimali asili zenye uwezekano mkubwa wa kuendelezwa kizazi hadi kizazi.
 
Kama Jakaya ni Mjanja anatakiwa awe amechomekea issue ya kumuita Joyce kwenye hivi vikao going forward.
 
Si hayo tu. Hata katika kampeni za 2010 Kagame alisema Kikwete anakampeni kama waziri wa miundombinu (ahadi alizokuwa anatoa)
Hivi Kagame "anapenda" ama kukubaliana na wapinzani wa Tanzania?
 
Alialikwa ila akajibu kuwa anakaanga chips dume nyumbanikwake
Marais-wa-Nchi-za-Maziwa-Makuu.jpg

Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
 
Hivi Kagame "anapenda" ama kukubaliana na wapinzani wa Tanzania?

Kagame hakubaliani na mfumo mzima wa kidemokrasia wa tanzania, hakubaliani na baadhi ya mambo na wapinzani pia!
Utawala wa Kagame ni semi dictatorship, but for the interest of the people!
 
Yaani hao jamaa wote ni soldiers,duh waafrika nawaonea huruma!

Mkuu true Soldier hapo ni Major General Kagame, and not just a soldier, but a leader too! wengine ni watawala tu, kwa mbaali unaweza kumwona Mu7 ki u soldier!
 
Back
Top Bottom