Mkutano wa marais wa nchi za maziwa makuu: Joyce Banda hakualikwa?

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,975
9,566
Marais-wa-Nchi-za-Maziwa-Makuu.jpg

Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
 
jembe Kagame na poyoyo Jkey
Marais-wa-Nchi-za-Maziwa-Makuu.jpg

Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
 
Marais-wa-Nchi-za-Maziwa-Makuu.jpg

Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
Huyu Museveni, sijui ni ushamba au ugonjwa?
Hilo kofia la nini na yuko indoors!
 
Marais-wa-Nchi-za-Maziwa-Makuu.jpg

Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).

Kundi la wanajeshi wasioaminiana si patatokea vita hapo?
 
Hawapatani, ila hana ujanja inabidi akubali tu! akikumbuka kauli ya Kagame kuwa nikipewa kuiongoza Tanzania, kwa hifadhi peke yake bila madini ataifanya Tanzania kuwa ulaya hana hamu!

meipenda hii!
 
Mkutano wa wanaume waliowahi kuwa wanajeshi hivyo mama alitafakari akapwaya. Ndio maana Zitto alipendekeza wanasiasa vijana waende JKT kumbe alimaanisha mambo haya!
 
Back
Top Bottom