Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
Huyu Museveni, sijui ni ushamba au ugonjwa?
Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
Rais wa Rwanda Maj. General Paul Kagame, Rais wa Tanzania Mh.Dr.Dr. Jakaya Kikwere, Rais wa Uganda Maj. Gen. Yoweri Museveni, Rais wa DRC Joseph Kabila (Mungi).
Hawapatani, ila hana ujanja inabidi akubali tu! akikumbuka kauli ya Kagame kuwa nikipewa kuiongoza Tanzania, kwa hifadhi peke yake bila madini ataifanya Tanzania kuwa ulaya hana hamu!
Ngoja tumtafutie la Pink kama la malkia ili tujue yeye ni mambo swafiHuyu Museveni, sijui ni ushamba au ugonjwa?
Hilo kofia la nini na yuko indoors!
Usikute kila mmoja ana bomu la kutupa na bastola kwenye makoti yao!Kundi la wanajeshi wasioaminiana si patatokea vita hapo?
Mkuu ukificha upumbavu wako utapotezana maana ya upumbavu!
Hapendi kuonekana ana kipara!! Hahahahha umeniwahi nilitaka kuuliza swali hilo hiloHuyu Museveni, sijui ni ushamba au ugonjwa?
Hilo kofia la nini na yuko indoors!