Mkutano wa madaktari NSSF Water Front

vimon

Senior Member
Apr 3, 2008
183
195
KIKAO NDO KINA ANZA Dr. Namala ameonge na anasisitiza kikao kiwe brief na detail, Dr. ulimboka kaongea amekwisha toa muhtasari wa mkutano wa tarehe 9/2/2012.

Dr. Namala anasisitiza sababu zilizosababisha kuhitilafiana/kutokukubaliana na meza ya majdiliano ya serikali. Madaktari wanatoa michango yao.

Kikinuka nitawajulisha
daktari anasisitiza mwandishi wa habari wa ofisi ya wazari mkuu apewe onyo kwa kukurupuka na kupotosha umma. Pia serikali ijue kuwa hakuna mtu aliyezaliwa kuwa waziri. Waziri alifanya dhambi ya kudanganya tena Bungeni. Pamoja na kudanganya bunge akadanganya watanzania wote. wanataka time frame ya mawaziri kuondolewa (Mzizi wa fitina)

Kwa ufupi madaktari wamekubaliana kuipa serikali mpaka jumatano Bwana Mponda na Naibu wake Lucy wawe wameondoka pale wizara ya afya ili waweze kukaa meza mmoja na serikali kutatua mgogoro wao.

Serikali ikishindwa kufanya hivyo basi mgomo utanza jumatano,madaktari wametumia busara kubwa sana katika mkutano wao wa leo,lakini inaonekana ofisi ya waziri mkuu na chombo kimoja cha habari vinatumika vibaya kuupotosha umma wa Tanzania.

My take:

serikali ifanye jitihada ya kuwaondoa hawa waliotuhumiwa ili wananchi wasije pata madhara tena kama mgomo ulio pita.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake
 
wanaichambua serikali isivyo jali kutatua kero na madai yao,hawa jamaa wanamwaga point
 
wewe kama unahela nenda kwa babu hapa mwisho wa siku nahisi yatafanywa maamuzi magumu hawa sio mbayuwayu
 
madaktari wanachangia na kusisitiza wanajuwa madai yao yalikuwa ya kushughulikiwa hatua kuna mengine muda mfupi na mengine ya muda mrefu.
 
Vimon acha basi kikao kiishe, mbona hiyo ni closed meeting unawahi kubwabwaja?? who are you representing sasa wewe?? au ndio mliotumwa na serikali kunyonya hali za madaktari??

@#$%^&*()(OIUGFCVBNM+_)(*&^%$# we
 
Vimon acha basi kikao kiishe, mbona hiyo ni closed meeting unawahi kubwabwaja?? who are you representing sasa wewe?? au ndio mliotumwa na serikali kunyonya hali za madaktari??

@#$%^&*()(OIUGFCVBNM+_)(*&^%$# we

basi sitoi tena updates
 
Vimon acha basi kikao kiishe, mbona hiyo ni closed meeting unawahi kubwabwaja?? who are you representing sasa wewe?? au ndio mliotumwa na serikali kunyonya hali za madaktari??

@#$%^&*()(OIUGFCVBNM+_)(*&^%$# we
Mkuu si umuache Vimon atupe habari sisi ambao tuko mbali na upeo wa hiyo habari? Hivi unadhani serikali haipo hapo Water Front?
Mkuu Vimon tuhabarishe kama kinanuka tujue la kufanya mapemaaaa kama ni kwa Dr. Kifimbo tuweke appointment mapema. Hii ndio advantage ya kuwa na uwakilishi wa JF kila mahala
 
nitaaribu solidarity ila baada ya masaa mawili nitatoa taarifa tena wadau tuendelee kuwepo
 
Serikal ya JK imeshindwa kuongoza,haiwezekan mpaka leo wafanyakaz na wahadhiri wa vyuo vikuu hatujapata mshahara.
 
Back
Top Bottom