kijenge
Senior Member
- Mar 9, 2012
- 179
- 164
Wana jf niko huku songoro tuna msubiri dr silaa, mbowe na nasary kwenye shule ya mlala alikosoma na nasary mvua inanyesha sana sugu amehutubia kwenye mvua umati wa waliopo hapa.cjui kama chopa inaweza kutua na hii mvua wananchi wanasema chadema wamekuja na baraka, ccm walipokuja hapa hawakupata watu wakaondoka wakasema watarudi.machali wapo kwenye mvua wanaimba wimbo wa kijana huyu sio ridhi kijana sioi,kazi kweli kweli