Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 20,530
- 62,262
- Thread starter
- #41
Bwana Buruani: Mtoa mada Taasisi ya twaweze.
Maoni na uchambuzi walioufanya kutokana na mswada huu. Hatujafanya sisi tu tumeungana na taasisi zingine. TLS, nk
Tumekuwa na muda wa kuuchambua na kuweza kutoa maoni yetu. Kuanzia kesho taasisi zetu tutaelekea Dodoma kupeleka maonia yetu.
Sitaweza kupitia mambo yote nitaongea machache tu.
Maoni na uchambuzi walioufanya kutokana na mswada huu. Hatujafanya sisi tu tumeungana na taasisi zingine. TLS, nk
Tumekuwa na muda wa kuuchambua na kuweza kutoa maoni yetu. Kuanzia kesho taasisi zetu tutaelekea Dodoma kupeleka maonia yetu.
Sitaweza kupitia mambo yote nitaongea machache tu.