Mkurugenzi wa NHC amkera Sabodo..

Sabodo kaingia choo cha kike kwa hili maana atachochea hisia za waswahili wengi wanaohoji kuwapo kwa wahindi wengi katika nyumba za NHC wakati wazalendo wanaishi madongo kuinama na nasikia kodi wanayolipa ni sawa na bure, kuna wengi wa ndugu zake sabodo wanalipa chini ya 100,000/= pale upanga wakati huku kijitonyama kodi 700,000 na mama mwenye nyumba ananitaka kulipa mwaka mzima.
 
Safi sana Nehemia moto ni ule ule...unapoianza safari watakutia moyo...unapoonyesha mafanikio vitaibuka vikwazo...

Endelea kuangalia uhalali wa mtu mwenye kipato kikubwa kuendelea kuishi NHC kwa bei ya kumwaga wakati sie kodi inagomba
 
Huyu mkurugebzi mtendaji wa NHC ana elimu ya kiwango gani? (not credentila flushing!)
There might be kitu nyuma ya pazia huyu 'naive' akapewa hii kazi?
 
Nehemia nakupa mia.wewe una akili sana.haiwezekani nyumba za NHC za posta,mnazi mmoja,kisutu,k/koo,upanga,masaki,station nk ziwe za watu wa asili moja.na sisi wazawa tujazane tabata,ubungo kibango,kinyama,buguruni,kurasini,tegeta,mbagala,kigambonino,kiembe mbuzi,kijiwe samuli,gongo la mboto.hata mimi nahitaji kupanga mtaa wa samora.postaaa!.nyumba zetu sio sehemu za kufichia wahamiaji halamu.kwenye huo msako ntasaidia.ole wao.dawa yao ipo jikoni.na hivi ndo tunaanza.mia.
 
Naona watu mnajaribu kupaka rangi upepo.

Sheria ya kutaka shirika lijue origin ya wapangaji wake haiwezi kuanzishwa ndani ya nchi hii kwa wakati huu ndugu yangu, hayo ni mawazo ya kijima kabisa wala hakuna chembe ya ubepari hapo.

Wao NHC wajenge nyumba, waziweke sokoni kwa zile za kuuza na pia waweke utaratibu wa kupangisha kwa bei ya soko kwa zile watakazzoamua kuzipqangisha.

Mbona huku uswahilini tunaishi nyumba za kupanga na tunalipa kodi kubwa kuliko hiyo ya NHC na wenye nyumba wetu hawana muda wa kufahamu watoto wetu wanasoma wapi na kwamba tumetokea wapi??

Tusiwe wepesi kuvutika na mawazo ya hovyo kiasi hiki, Mchechu atafute mbinu nyengine ya kuinua kipato cha NHC sio hii ya kuulizana maswali ya kitoto, mi ningekuwa mpangaji wao nisingeyajibu hayo madodoso yao.

Sidhani kama tunajaribu upaka rangi upepo.
Ninachoelewa ni kuwa kabla ya mtu kufanya reaserch/study ana kuwa na lengo (Objective) yake. Na ili aweze kujibu/kupata majibu ya hiyo objective unaandaa tools(mfano, questionnaire). Tool hii inakuwa na proxy au variables ambazo researcher anaamini kabisa katika combination ya hizo variables ataweza kupata jibu la targeted objective ili aweze kuboresha, kupanga na pengine kutathmini current situation kwa ajili ya mipango ya baadae.
Kicholetwa hapa: Mtu ameleta variables bila kutuambia lengo la huo utafiti ni nini? Kuna kitu hapo……., either chuki binafsi au mgongano wa kimaslah. Tusiwahukumu NHC kwa kuangalia hayo maswali bila kujua lengo la hiyo study yao.
Nitaweza kuchangia kwa hili iwapo utaniambia lengo la huo utafiti ni nini.
Hivi kwa nini sisi Watz mtu akitafanya kazi unaambiwa unatafuta umaarufu? Usipofanya kazi napo wanasema kampuni fulani ni wazembe, haya wanataka kufanya study ili pengine waweze, kuboresha, kupanga na pengine kutathmini hali ya baadae ya shirika, tunakimbilia kulalamika. Mara ngapi tumeona kwenye TV wahindi wameshindwa kulipa pango la nyumba na wakati wana uwezo na watoto wao wapo shule za bei mbaya.
 
Huyu mkurugebzi mtendaji wa NHC ana elimu ya kiwango gani? (not credentila flushing!)
There might be kitu nyuma ya pazia huyu 'naive' akapewa hii kazi?

Umefanya vema kuuliza. Na kwa kuwa bado hujajibiwa, basi hukupaswa kutoa hukumu hasi juu ya suala usilolijua.

Sisi vijana wa Kitanzania tuna matatizo makubwa katika kukimbilia hitimisho bila kusumbua akili kwa kufanya tafiti. Na mara nyingi tumewachia wachache watufanyie mapendekezo na tuyachukue ki-vuvuzela kama maamuzi sahihi.

Neemia ni msomi wa Degree ya B.Com toka UDSM na miongoni mwa vijana halisi wa Kitanzania walikwea kileleni katika uongozi wa makampuni na mashirika toka familia ya kawaida kabisa. Kilichomfikisha katika mafanikio ni ubunifu, moyo wa kujituma, uwezo mzuri katika kuunganika na watu ( jambo ambalo wasioweza huita kubweba)
 
Sabodo ameingia kwenye harakati ya kutetea wahidi akidhani NHC ina mpango wa kuwafukuza kwenye nyumba baada ya kuulizwa uraia. Nehemiah kaza buti sabodo anamatatizo yake nakumbuka miaka ya 2001 aliwahi kugombana sana na NHC akitaka ubia kwa nguvu pale upanga ambako alitaka kujenga jumba la cinema. Baada ya kupigwa chini akaanza kuichafua kupitia magazeti.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Nehemiah kaza buti na kazi yako nzuri inaonekana na hakikisha wahidi wanalipa kodi stahili pale upanga na mji waache chokochoko maana tayari nyumba zote za mijini wamekalia wao, sisi wamatumbi lazima tupate makazi bora pia na tutapata kupitia kodi hizo.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
By the way Nehemiah muangalie sana muhindi anajiita Rajpar anafanya shughuli za meli, yeye ndiye anayeleta chokochoko na kumtumia sabodo kama msemaji wao. NHC kaza buti mpaka kieleweke nataka kuwaona wahidi nao wakiishi kufuatana na uwezo wao, kwanini nao wasiende kule tandika, ubungo au manzese kama NHC mna nyumba huko.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Kuna mhindi yeyote aliyeuziwa nyumba za NHC kule Boko? Zote zimenunuliwa na vigogo wamatumbi wenzetu halafu wakawapangisha walalahoi. Mabepari weusi ndio wanaolifaidi shirika hili na si walalahoi. Huenda u-mmoja wao ndugu mnaolifaidi shirika
 
Nehemia Msechu,

Kwa moyo wa dhati kabisa pokea pongezi kwa jitihada mbalimbali unazochukua kuokoa na kuendeleza Shirika la Nyumba la Taifa.

Ndg.Nehemia fahamu kuwa watanzania tuliowengi tumekerwa sana na matangazo ya sabodo na jumuhiya za watanzania wenye asili ya ki-asia. Kwa kutojua kwao, wameamsha nyonga ya mabaya wanayotutendea na bado sisi twawaita eti ni wenzetu "Watanzania wenye asili ya Ki-asia". Kama ni ubaguzi wao ndiyo vinara.

  • Hivi ni mzawa gani mweusi anajumuika na wahindi kama mwanachama katika hiyo Dar es Salaam Merchant Chamber? Huu si ubaguzi?
  • Mbona vigezo na miundo ya shule zao zinatubagua kwa mambo ya asili. Huu si ubaguzi?
  • Katika productions and supply chains mbalimbali kuanzia, procurement ya malighafi mpaka usambazi wa bidhaa wahindi wamekuwa na jitihada za makusudi kuhakikisha wanapeana wao kwa wao na hakuna mzawa mweusi anaingia. Huu si ubaguzi?
Kama kulikuwa na jambo ambalo watanzania wa kweli tulipaswa kuunganishwa kwalo ni juu ya kupinga huu ubaguzi wa wanaoitwa "Watanzania wenye asilia ya kiasia" Yaani asilimia 2 ya watu wa asili fulani wanahodhi kiujanuaujanja nyanja kuu za uchumi na kuwaacha wazawa asilimia 98 nje. Kwa bahati mbaya si CDM wala ccm wanaweza kusimama upande wa wananchi katika suala hili. Maana wote ni "beneficiaries" wa sabodo - mwakilishi wa jumuhiya za wahindi. Upumbafu wa kelele zao nina hakika utasaidia sana kutuamsha na kutuunganisha inshahallah mbeleni tutapata Mtikila wetu kutuongoza dhidi ya hawa magabachori.

Ninaona aibu sana nyumba za mji wa kuzunguka Ikulu ya nchi yangu zimejaa wageni. Rais wa nchi yangu analala kama vile yuko ugenini.
 
<font color="#222222"><span style="font-family: Tahoma"><font color="#222222"><span style="font-family: Tahoma"><br />
<br />
<div style="text-align: center;"><img src="http://4.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/S4-IuSTZfAI/AAAAAAAA91A/FGRoJb6zpGE/s1600/banjako.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<br />
<font size="3"><i><font color="#000000">Bw. Nehemia Mchechu</font></i></font><br />
<br />
<br />
Pengine inatafsiriwa kana kwamba Bw. Nehemia Mchechu, Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba (NHC) ameonekana kana kwamba anajitafutia umaarufu wa haraka katika nyaja ya uongozi na hasa kupitia vyombo vya habari kwamfano: <br />
<br />
Alitumia waandishi kuwapa semina yenye kugharimu mamilioni ya Fedha za shirika kuwafundisha waelewe shirika ikwemo kumtumia Mjomba Mpoto kwenye matangazo. <br />
<br />
Sasa amekuwa akionekana katika vyombo vya Habari hasa TBC 1 akitangzana mikakati ya shirika nk kwa kutumia fedha za shirika hilo ambalo mpaka hivi sasa limejikita zaidi kujenga na kukarabati nyumba maeneo ya mjini na kukosa kuwafikia wanyonghe walio wengi. <br />
</div><br />
<br />
</span></font>katika Gazeti la Mwanachi leo tarehe 13 Septemba, 2011, Bw. M.R.J. Sabodo ameandika makala ya malalamiko na kuhoji uhalali wa maswali ambazo NHC limeandaa kwa ajili ya kuuliza wapangaji wake. Maswali hayo mengi yanaoekana hayana mantiki yoyote ya kuboresha huduma za shirika hilo la Taifa. Kwa maoni ya Sabodo, ni ya kibaguzi na hata alipoongea na Mhe. <br />
<br />
Waziri Mkuu nae ameshangaa kuona maswali kama hayo. Ukiyasoma maswali hayo utaona yanataka kuwaanika wapangaji wake kihali na kiuchumi. Maswali hayo yanataka kujua pamoja na mengine yanataka kujua taarifa binafsi za wateja (utaifa,uasili wa wapangaji kwa kuuliza &quot;wewe ni mtanzania wa asili ipi (ulaya, asia, mweuisi nk) (originality), makazi yao, unahudumiwa na Benki gani, shule wanazosoma watoto, nk. <br />
<br />
Kwa maoni ni kuwa Kama wao NHC wanataka kukusanya mapato zaidi, waweke mfumo unaoeleweka, hizi taarifa wanazotaka wapangaji watoe ni taarifa ambazo kimsingi zilipaswa kuwa sehemu yan mkataba wa pango na sio sasa wakati tayari mkataba unaendelea. Huu ni uelewa mdogo wa Mkurugenzi wa NHC, hizi taarifa hajui zinaweza kutumiwa vibaya dhidi ya wapangaji? <br />
<br />
Kuna madai kuwa Mkurugenzi huyu alipatikana kimagumashi tu na hakuna uhakia kama anajua jinsi gani mashirika ya umma yanapaswa kuendeshwa. <br />
<br />
Kuna madai kuwa pale NHC sasa kuna mikataba mingi ya hovyo ya wajiriwa toka ndani na nje ya nchi walioletwa na Uongozi mpya, na mingi itakuja kuwa mzigo kwa taifa...tusipoangalia, badala ya kufufua shirika, Shirika litaangamia kwa Mipango ya Kusadikika ya Huyu Mkurugenzi wa sasa.</span></font>
<br />
<br />
Haijalishi kapatikana vipi ila huyu jamaa ni jembe la ukweli. Kawanyoosha wazee wazamani pale waliokuwa wakifny kz kwa mazoea na ana plani za ukweli. Siku zote mti akitoka private secta anakua focused maana kule ndo kwny mchakamchaka. Kaza uzi kaka this world is in favour of focused people like u. Keep it up
 
Wakuu two wrongs can not make a right, wizara ya mambo ya ndani hasa polisi na mahakama huwa kuna kipengele cha kabila lako? Vp hiyo mbona haijawahi ulalamikiwa?
 
Back
Top Bottom