Nimesikia ya kwamba Serikali
imemsimamisha kazi Mkurugenzi mkuu wa bohari ya dawa Joseph Mgaya kutokana na kuidhinisha dawa bandia za
ARV. Pia mkaguzi wa bohari amesimamishwa; na kiwanda cha Arusha kimefungwa.
Wenye habari kamili tunaomba mtujuze.
imemsimamisha kazi Mkurugenzi mkuu wa bohari ya dawa Joseph Mgaya kutokana na kuidhinisha dawa bandia za
ARV. Pia mkaguzi wa bohari amesimamishwa; na kiwanda cha Arusha kimefungwa.
Wenye habari kamili tunaomba mtujuze.