Mkurugenzi Misungwi amdhalilisha mwalimu mbele ya wanafunzi wake

Poor inheritence of DED....na huu ni ugonjwa uliyo kwa awamu hii itafika mahala wataji dehumanize wenyewe kwa wenyewe let keep on watching these series of movies from season one.
 
mtani nipo sana....tunapishana..
wadudu na ukame huu watatoka wapi? mi nilidhani wewe ndiye uliyedeki mwanzo nilidhani ni geniveros Teh Teh Teh
Hahaaaa!! Kumbe wana msimu mtani? Mbona huwa nawaona muda wote?

Aisee miee kudeki tena, tungekuwa tunaongelea mengine muda huu!
 
Nashukuru sikubahatika kua mwalimu,kiukweli mkurugenzi hata nisingemsikiliza kama kibarua bora kiote nyasi tu ila kudeki sideki im vere mbifile
 
Kuna taratibu zinazofahamika ktk swala kama hilo , hapo kuna wanafunzi wenye zamu ya kudeki darasa ndio walitakiwa waazibiwe mwalimu wa zamu alitakiwa atoe maelezo kwa uzembe wa kushindwa kusimamia usafi. Mkurugenzi ama hajui taratibu za kazi au alitumia ubabe
 
Kwenye udhalilishaji wa namna hii hutokaa usikie mtu yeyote serikalini akitoa tamko, sasa hivi walimu wamekuwa ni punching bag ya maDC na Wakurugenzi wa halmashauri hapa nchini. Poleni sana walimu hamna wa kuwatetea hata hicho chama chenu naona kama kimebakia jina tu.
 
Haa! kanda ya ziwa kuna tatizo gani kwa hawa walimu mbona hawajitambui wala hawaijui thamani yao? wanasubiri nani aje awakomboe badala ya kujikomboa wenyewe? Awamu ile walicharazwa bakora na mkuu wa wilaya nao wakajipanga foleni kabisa kusubiri bakora kwa DC, leo tena wanadeki darasa, aisee! walimu wa kanda ya ziwa embu amkeni sasa this is too much kwa kweli..Mwisho atatokea kiongozi kama scorpion aje awatumbue macho nayi mtamkodolea tu kodo kama Lipumba mtobolewe halafu muanze kusumbua jamii. mseeww!
 
Kama yeye ameshindwa kusimamia wanafunzi wadeki au wasafishe darasa, basi hacha asimamiwe yeye adeki
umeshaambiwa ni jioni darasa lina fanyiwa usafi saa ngapi.? unafikiri huyo mkurugenzi angewakuta walimu wa field angewaamrisha kipuuzi hivyo ? hajipendi ?
 
Ninawasiwasi na Mkurugenzi pia
Mkuu umenena hawa wakurugenzi waliotolewa UVCCM ni shida sana, yule wa Tanga kamtishia trafic kwa bastola, Arusha nako kuna mkurugenzi kamshusha cheo mratibu wa elimu kata na kumrudisha darasani kufundisha kisa wamezinguana na mbunge wa viti maalum wa ccm kwenye group la whatsapp, huku tena mkurugenzi kamdekisha mwalimu, nyoko kweli haya mambo yanafanyika ktk utawala unaofananishwa na mwalimu Nyerer, aisee haya ni matusi mwalimu aliheshimu sana walimu tena sana, ila sasa sijui hawa wakurugenzi walioteuliwa kwa uhakiki mkubwa wa mkuu ni kati ya wale mmoja ktika kila 4?! wanasikitisha na kuudhi kwa mabo yao ya hovyohovyo.
 
Hahaaaa!! Kumbe wana msimu mtani? Mbona huwa nawaona muda wote?

Aisee miee kudeki tena, tungekuwa tunaongelea mengine muda huu!
wana hifadhiwa ...kuna kipindi wanakuwa wachache kuna kipindi wanakuwa wengi hasa cha mvua...
 
Kweli kuna watu wa ajabu duniani. I wish mimi ndio niwe huyo mwalimu. Nadhani ningeingia kwenye kumbukumbu za nchi. Daaaah, kweli upele huwakuta wasio na makucha
 
Huo ticha ni boyaaaaa dadeki sideki na naondoka

Hakuna sheria kaa hiyo hajui haki yake na huenda vyeti fake
 
Shida ni moja tu kwenye huu uongozii kila mtu anatoa tamko ni mwendo wa kutumbua tu hili ni tatizo
 
Kwanza hodi maana kwa hili imebidi niombe tu uraia wa kudumu hapa JamiiForums na
any ways nisiwachoshe kwa ugeni wangu. naiweka kama nilivyo ikuta.

Mkurugenzi halmashauri ya wilaya Misungwi amemdhalilisha mwalimu wa shule ya sekondari Shilala iliyopo wilayani humo baada ya kumuamrisha kudeki darasa huku wanafunzi wake wakimshuhudia

Tukio hilo lilitokea pale ambapo mkurugenzi huyo akiwa ameambatana na baadhi ya mafisa walipo fika shuleni hapo mida ya jioni, muda ambao wanafunzi wa kidato cha nne walikuwa wakijisomea ili kujiandaa na mitihani.

Alipofika sekondari hiyo ya Shilala alitembelea madarasa baadhi na kukuta darasa moja likiwa chafu, ndipo akamuhitaji mwalimu aliye karibu kuja kujibu kwa nini darasa chafu na baada ya hapo mkurugenzi huyo akamwamrisha mwalimu huyo kudeki darasa hilo jambo ambalo mwalimu huyo hakuwa na pingamizi ingawa mwanzo alidhani huenda anaambiwa awaambie watoto wasafishe, hivyo akawa anafanya mpango wa kuwaambia wanafuzi ndipo mkurugenzi bila hata chembe ya busara akamwambia udeki wewe mwenyewe, mwalimu hakuwa na ajizi akatafuta ndoo na maji na kuanza kudeki huku wanafunzi wakimshuhudia.

MAONI YANGU SASA.
OMBI KWA SERIKALI NA WAHUSIKA WA MASWALA YA UTUMISHI
Ili mwalimu afundishe darasani na aeleweke kwanza lazima anaowafundisha waanze kumheshimu kwanza, sasa mazingira kama haya tena mbele ya wanafunzi na kuamrishwa kama naye ni mwanafunzi sijui hao wanafunzi watamuona vipi mwalimu wao baada ya tukio hili la fedheha alilotendewa na mkurugenzi huyu, na imekuwa desturi baadhi ya viongozi awamu hii hasa wakuu wa wilaya na wakurugenzi kudhalilisha watumishi wa umma kwa vile kwa sasa watumishi wa umma hawana mtetezi kabisa na wametelekezwa wakati wana mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya taifa kutokana na mgawanyo wa majukumu waliyo pangiwa.

LAKINI PIA
Pamoja na dhana hii ya mwendo kasi na hapa kazi tu, watumishi wa umma waheshimike hasa wanao fanya kazi kwa karibu sana na jamii, maana wakijengewa mazingira ya kudharauliwa kiasi hiki nadhani na jamii nayo itawadharau zaidi.

Hawa wakurugenzi na baadhi ya wakuu wa wilaya na mikoa wa sasa walio wengi hawana kabisa skills za utawala bora na namna ya kupambana na changamoto na ninadhani hii yote inatokana na kuweka wanasiasa kwenye kazi zinazohitaji utaalamu na weledi wa hali ya juu sana.
Akili mfu hiyo
Kama yeye ameshindwa kusimamia wanafunzi wadeki au wasafishe darasa, basi hacha asimamiwe yeye adeki
 
No way huwezi nipigishaa deki kiivyoo kwakuwa yenimkurugenzi bora nisiwenakazi hapo ntaenda hata private school kufundishaa
 
Back
Top Bottom