jrmlaurence
Member
- Dec 2, 2010
- 80
- 57
Wanasiasa 40 walipata ajali mbaya porini mkulima mmoja alipoona hivyo alichimba shimo na kuwazika wote pamoja.alipoulizwa na polisi juu ya maiti mambo yalikuwa hivi;
POLISI: zipo wapi maiti?
MKULIMA: nimezizika.
POLISI: unahakika wote walikuwa wamekufa?
MKULIMA: kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini c unajua wanasiasa walivyo waongo, mi nikajua tu wameanza siasa zao na kuanza kunidanganya ikabidi niwazike wote!!!
POLISI: zipo wapi maiti?
MKULIMA: nimezizika.
POLISI: unahakika wote walikuwa wamekufa?
MKULIMA: kuna wengine walikuwa wanalalamika kwamba hawajafa lakini c unajua wanasiasa walivyo waongo, mi nikajua tu wameanza siasa zao na kuanza kunidanganya ikabidi niwazike wote!!!