Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Hakuna kitu huko ndo tunaskia wanauwana kwa uchawi
Mchungaji kakamatwa na viungo nya albino
Uchunaji ngozi ulianzia na unaendelea huko mbeya hakuna cha nini wala nini
Na wengine wamehamia hapa town karibia wote hawa mitume
Manabii
Miungu
Wakina lusekelo hawa ni wa huko mwakaleli
By the way hiyo ni biashara yao wanayoona inalipa period isifananishwe na imani
Mchungaji kakamatwa na viungo nya albino
Uchunaji ngozi ulianzia na unaendelea huko mbeya hakuna cha nini wala nini
Na wengine wamehamia hapa town karibia wote hawa mitume
Manabii
Miungu
Wakina lusekelo hawa ni wa huko mwakaleli
By the way hiyo ni biashara yao wanayoona inalipa period isifananishwe na imani